AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na paparazi wetu, Dk. Cheni alifafanua kuwa kwa wadhifa alionao Mainda kwenye gemu ni makosa kumwambia hawezi kuigiza nafasi ya umama wakati anaweza sana.
“Cloud ni kama amemtusi Mainda, binafsi siwezi kumuunga mkono, mimi naweza kucheza naye scene ya wanandoa kwa kuwa ni msanii mwenye uwezo mkubwa,” alisema Dk. Cheni.
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Watu bwana... Wakiambiwa ukweli kwao matusi Mainda kiukwel mbegu mbaya!! Claud hajakosea kabisa labda achezeshwe beki3 au mtoto.niwalong lakini hakui!!! kipindi hicho kaolletizama wenzie walocheza wadada leo wanacheza mama yy mmmh mwili utamkosesha sin...
ReplyDeleteWewe nduguvzakobwotecwalioolewa ni warefu? KWAN KUWA MFUPI NA MWENYE MWILI MDOGO HUWEZ KUWA MAMA? Mbona mnawaza juu juu tuu? Kwan wamama wote uku dunian wana miili mikubwa? Mbona wakina aki na ukwa kuna movies wameact kama babA?
DeleteUkwel unauma!
ReplyDeleteLULU HUWEZI KUCHEZA UMAMA,LABDA UCHEZE UCHANGUDOA,BEKI 3,NYUMBA NDOGO,CHOKORAA, niite EKITUGU.
ReplyDeleteSAMAHANI SIYO LULU NI MAINDA.
ReplyDelete