MASKINI MSICHANA WA MIAKA 18 ABAKWA NA WATU WANANE MPAKA KUFA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ilikuwa siku ya kawaida kama siku zingine msichana wa miaka 18 aliyejulikana kwa jina Chekwube Mbaka alitumwa sokoni kununua mahitaji ya chakula cha jioni katika mtaa mmoja huko Naigeria....lakini njiani alikutana na vijana wanane ambao walimbaka wote mpaka kupoteza maisha yake ....Polisi wamewashikilia vijana wawili kwa kutuhumiwa kuhusika na tukio hilo ....inasemekana vijana hao ni watengeneza majeneza wa eneo hilo.

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad