AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
IMEVUJA! Msanii wa filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ alimlazimisha mtangazaji wa Channel Ten, Bond Bin Suleiman apime virusi vya Ukimwi kipindi walipokuwa wapenzi.
Akichonga na paparazi wetu, Bond alisema baada ya kulazishwa kwa muda mrefu na Aunty Lulu, kwa mara ya kwanza alijikuta amepima Ukimwi na bahati nzuri walikutwa wako salama.
“Kipindi nikiwa na uhusiano wa kimapenzi na Aunty, alinilazimisha mpaka tukaenda kupima Ukimwi tukajikuta tupo salama ndiyo tukaendelea na mapenzi yetu na tulikuwa na tabia ya kupima mara kwa mara lakini nawashangaa wanaosema nimeambukizwa ngoma,” alisema Bond.
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Asa ndo nini
ReplyDeleteMnakosaga vya kuandika humu.
ReplyDeletePole bond ulitoka mza ukaingia dar kwa pupa ukimwi tayari unao anza kula matunda na mboga mboga
ReplyDeletemwenzako anatumia dawa huyo cheki alivyojinenepea anza dozi ww utapandisha kench shauriyo
ReplyDeleteHta kama unao utasema????????? Kikubwa tulia
ReplyDeleteUnajipa matumaini,pole sana kama usingekuwa nao ungepotezea.
ReplyDeleteMajanga kaz ni kwako
ReplyDeletehanza kula matunda
ReplyDelete