AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akisimulia mkasa huo huku akiwa wodi namba sita alikolazwa akiuuguza vidonda na majeraha,Ghati alisema, mume wake aliye mtaja kwa majina ya Chacha Mwita(23) alifika nyumbani saa mbili usiku akiwa amelewa.
"Aliniuliza kwa nini nimechelewa kumfungulia mlango nikamjibu sikuwa nasikia.Akaaza kunifokea kwamba nilikuwa na mwanaume mwingine ndani , baadaye akaniomba kurunzi na panga, nikamletea kurunzi na kumwonesha panga lilipo kwa kidole" alisema Ghati.
Wakati anamwonesa lilipo panga na kumpa kurunzi Ghati hakujuwa nini kinafuata , alifikiri kuwa ni mambo ya wanaume tu, pengine anataka kwenda sehemu kwa kuwa ndizo tabia za wanaume wa maeneo haya kuondoka usiku ama anataka kuangalia mji kama uko sawa alafu arudi kulala.
" Alipoipata ile panga akaniambia leo atamitumbua utumbo, akaanza kunipiga kwa panga ile akanijeruhi sikio, mkono wa kushoto na mguu wa kushoto na kunikata mguu wa kulia ukakatika kama unavyoona" alieleza kwa masikitiko akiifunua kanga iliyokuwa amejifunika akiwa amelala kitandani hospitali ya Wilaya Tarime.
Wakati anafanyiwa ukatili huo alipiga kelele lakini majirani hawakuwahi kufika kumsaidia kwa kuwa ni kawaida ya mume na mke kugombana na vilio kama hivyo kusikika katika maeneo hayo.
"Baadaye walikuja na aliposikia majirani wamefika alikimbia kwa kupitia mlango wa nyuma akitumia baisikeli yake, majirani walinifunga mguu uliokuwa ukivuja damu na kunikimbiza katika kituo cha afya Muriba na baadaye kuletwa hapa" alieleza .
Jeshi la polisi baada ya kupata taarifa lilifika lilifika eneo hilo la tukio na kushuhudia kipande cha mguu kama inavyoonekana kwenye picha hapa na kuamru kizikwe na juhudi za kumtia nguvuni kuanza.
Hata hivyo siku moja baadaye Chacha Mwita alikamatwa na jeshi la polisi kwa kusaidiana na nguvu za wananchi ambapo alifikishwa katika mahakama ya Wilaya ya Tarime kujibu mashitaka hayo.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamishina masaidizi wa polisi kanda maalumu ya Tarime (ACP) Justus Kamugisha lisema kuwa baada ya kuhojiwa , Mwiata alikiri kumsababishia mke wake ukilema wa maisha.
" Vitendo vya kikatili vilishapitwa na wakati, kumsababishia mtu ukilema wa maisha nii jambo lisilo la utu na linaonesha kuwa hakuna ubinadamu kwa watu japo si wote" alisema Kamugisha kwa nija ya simu
Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
makabila mengine ovyo sana..!
ReplyDeleteafungwe maisha hy bazazi, unyama gn huo kha!
ReplyDeleteNingemtoa pumbu huyo asingenisahau maisha!!
ReplyDeletePole dada,huyo mwanaume ni mnyama,baadaye unadanganywa mnakaa km familia mnalimaliza,usikubali
ReplyDeleteakija kukumbembeleza mkubalie hk ukifanya mpango wa kumng'oa pua awe toinyo, mfyuuuu, tena na masikio ili apate na yy utamu,
ReplyDeletebaada ya hapo unammwagia na tindikali kdg ikate damu asivuje sana, unyama unyama,
ReplyDeletePole sana dada! Binaadam wengine wa natakiwa kuwa face out haki! Whatt!!?
ReplyDeletedah mura nikhi ubaye mwetuuu
ReplyDeleteCHEZEA MKURYA?Nakutema muraaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteana pepo huyo mwanamume pole dadangu mapito hayo
ReplyDeletetatzo c kabila hlo n sawa na yalowakuta mwananch global publsh tatzo n tido nyinyiem(ccm)hawamtak ndo hy kijana mwanga kbsa akaombewe
ReplyDeleteHawa wananchi walitakiwa wamfeke mboro na hizo Kende zake halafu naye akalazwe hospital kama mwenzake
ReplyDelete2we 2naangalia 2nakoolewa jaman
ReplyDelete