AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwimbaji huyo ameyatoa yake ya moyoni kupitia Instagram na kuonesha kuwa bado anamhitaji Linah kwa kuwa ndiye mtu aliyekuwa anampa furaha na kwamba hakuwahi kumkosea.
“Wakati kama huu ukifka uwa namuwaza sana uyu wa pembeni kiukweli ni mtu ambea aliweza kunipa furaha akuwahi nikosea alifnya ninachokitka ila nilipo sasa mmmmmh boko miss uuuuu linah kwani nini si nini tu.”
Udaku Specially Blog
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Thats a true nigga speakin wat he feels..,sio wengine mpaka waende sijui china mara sijui hoteli ya nyota tano (5 STAR) kila mtu ana uhuru wa kufanya akitakae.Pamoja bro
ReplyDeleteAah wapi..! Wote vicheche tu watu washaitwa wasanii unategemea nini tena?
ReplyDeletejamani jamani jamani????!!!! eti mm nimependwa na changu nifanyaje jamani?.......
ReplyDeleteKachanguke!
DeleteDaaaaaah mmi na mtoto jocate yaan tangu anibwage mitikx hazisomek kabisa..
ReplyDeleteuache kumchapa mabao mwenzako
ReplyDelete