STAREHE ZINGINE KUFURU..SOMA ALICHOFANYA HUYU BINTI MBELE ZA WATU KIBAO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waombolezaji walikua wamejaa katika msiba wa mpiga misele (drifter or spinner) maarufu Bongani Makhubo (40) jijini Pretoria, Afrika Kusini.

Baada ya mazishi, wapiga misele wenzie wakaanza kupiga misele na magari yao kama kumtolea heshima marehemu, huku wahudhuriaji wakishangilia.

Ghafla binti huyu akavua chupi yake na kuipunga hewani huku akidansi katikati ya magari yanayozunguka kupiga misele


Baadhi ya waombolezaji walikerwa na kitendo hicho lakini cha ajabu wengi walimuacha aendelee na walikua wakishangilia

Udaku Specially Blog
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Try to ask your hairstylist to give good advice which trendy hair style
    suits you very much. And with younger children, avoid using the term "haircut"-the idea of cutting may be distressing to them.
    Here, we will take a look at a few factors that you need to consider when choosing
    hairstyles for brides who are walking down the aisle, and
    whether they should go for veil or veil-less hairstyles.


    Here is my homepage :: the latest hairstyles ()

    ReplyDelete

Top Post Ad