WEMA: PIGA, UA LAZIMA DIAMOND ANIOE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Na Imelda Mtema
Licha ya mama yake mzazi kupinga kwa nguvu zote, staa wa filamu nchini na mtangazaji wa Kipindi cha Runinga cha In My Shoes, Wema Sepetu ameapa kwamba hata iweje, lazima msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’ awe mume wake, Amani lina stori kamili.

NI CHAGUO LAKE
Akizungumza na Amani katika spesho intavyu hivi karibuni, Wema ambaye kwa sasa anapika na kupakua na Diamond alifunguka kuwa, amepita kwa wanaume wengi ila anaamini mwanaume huyo ndiye chaguo lake.

Alisema katika uchunguzi wake aligundua kwamba Diamond anampenda kupita maelezo na kwa mapenzi anayomuonesha hana sababu ya kugoma kumpa nafasi ya kuwa mkewe.

“Yaani watu watasema sana lakini piga, ua, garagaza, lazima Diamond anioe. Amekuwa akilizungumzia hilo na kuonesha kuwa yuko ‘siriasi’ hivyo ipo siku historia itaandikwa bila kujali nani atasema nini.

“Unajua mimi ni mtu ninayejitambua na ninayejali maisha yangu hivyo ninapobaini mwanaume f’lani anaonesha kunijali na kunipa mapenzi ninayoyahitaji, kwa nini nisikubali kuingia naye kwenye maisha ya ndoa…?
“Kwa kifupi nampenda Diamond na yeye ananipenda, that’s it,” alisema Wema.

MKWARA WA MAMA YAKE
Kuhusu mama yake kuchimba ‘biti’ kuwa hamtaki Diamond na kamwe hawezi kukubali mwanaye aolewe na mwanaume huyo, Wema alisema:

“Unajua yule ni mzazi, wakati mwingine si mbaya kuonesha hisia zake lakini nitamseti na naamini kwa kuwa ananipenda atakubaliana na mawazo yangu.”

NDOA LINI?
Alipobanwa kuhusu lini watafunga ndoa kwani wamekaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu huku wakiachana na kurudiana, Wema alionekana kutokuwa na jibu la moja kwa moja ila akaishia kusema kuwa, siku ikifika kila kitu kitakuwa wazi.

NUKUU YA MAMA WEMA!
Katika sakata hilo, kwa upande wake mama Wema alikuwa na haya ya kusema: “Ndoa yao watafungia chumbani, si hadharani, tena wakiwa na ndugu wa upande mmoja tu wa Diamond.
“Sisi hatuwezi kushiriki ng’oo, ndugu zangu wakijitokeza tu nitakuwa na panga  mkononi, watakiona cha moto.”
TUJIKUMBUSHE
Mwaka 2011 ndani ya Ukumbi wa New Maisha uliopo Masaki, Dar, Diamond aliwahi kumvisha pete ya uchumba Wema na ikadaiwa kuwa siku nyingi wangeingia katika maisha ya ndoa lakini haukupita muda mrefu wakaachana.

Baada ya kumwagana, Diamond alikwenda kwa mtangazaji wa DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ na Wema alihamishia penzi kwa yule kigogo aliyefahamika kwa jina moja la Clement ‘CK’ kabla ya kumwagana hivi karibuni.
Credits:Global Publishers

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

22 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wee mtoto mzuri umekwishaaaa! pole.

    ReplyDelete
  2. umezoea kumegwa

    ReplyDelete
  3. Nampendaa Sana huyu mdada but kwenye mapenzi huwa ananiboa,hivi ukitafuta kazi ukatulia utaheshimika zaidi ya hapo wewe unapendwa sana na watu nitafurahi Cku nickie upo busy na kazi co kubadilisha wanaume haya diamond tena kuwa makini ucje ukajatendwa na kuaibika Kama kipindi Kille

    ReplyDelete
  4. mwambie mama wema amtombe mwenyewe aache ukuma hayo ni mahucano hivyo awaache waoane kwani yeye alichaguliwa mwanaume wazazi wengine kero amuoe yeye sasa kama hataki aolewe hahahahahahahaha!

    ReplyDelete
  5. wee jigambeeee iko siku domo atakumwagatu! kama mwenzio penny! cheza na domo wewe eh!

    ReplyDelete
  6. kwakweli namuonea huruma huyu mtoto, ni mtoto anayeonekana dissent, hatakiwi kuolewa na wapiga shoo, hawa wapiga shoo leo wako juu, kesho chali hali mbaya mfano Mr. nice, atakimbilia wapi?

    ReplyDelete
    Replies
    1. una akili sana,,ila diamond nae anaonesha anajua siku yoyote atakuwa chali ndio maana anawekeza sana

      Delete
  7. Haya mapenzi yenu kupoteza muda tu kwann musiowane halafu magazeti yakaandika habari nyegine.?

    ReplyDelete
  8. Haya mapenzi yenu kupoteza muda tu kwann musiowane halafu magazeti yakaandika habari nyegine.?

    ReplyDelete
  9. kwakweli namuonea huruma huyu mtoto, ni mtoto anayeonekana dissent, hatakiwi kuolewa na wapiga shoo, hawa wapiga shoo leo wako juu, kesho chali hali mbaya mfano Mr. nice, atakimbilia wapi?

    ReplyDelete
  10. kw maoni yangu nakushauri wema acha majigambo utamwagwa mchan kweupe sijui aibu utaiweka wap unakumbuka yale ya mlimani city domo alivo kufanya sasa litakalo tokea kwa sasa ni komesha mda si mrefu tutayaskia tu mara wema ana kuma kam mfereji unao pitisha maji nachafu leo hii ndo mla kuma na kuilamba wote kuma tu wew na domo

    ReplyDelete
  11. kumamae zenu 2toleen habari za kisenge hapa wema kbumbu, diamond kuma

    ReplyDelete
  12. We Have big Western Union Hack for everywhere and any time for you. We transfer money to all countries/territories in world that have Western Union. We can transfer big amounts and you can receive this money from your country. We accept payments of 10% of transfer and with big transfers we do give discounts .We make it very safe and the service is very fast. We make transfer and forward you your Western Union info without delay or issues. We give you the MTCN , sender info and all cashout info in 45 min to 1 hr.

    INFORMATION REQUIRED
    Recipients First Name And Last Name
    Recipients Address ( Country, City)
    Recipients Zip Code


    SELLING MTCN
    Why we are selling MTCN ?

    Because we do percentage with our associates, but still to reduce risk we cannot to the same name all the time, that is why we take close to 10% per transaction. The transaction is done by using a series of transfers to our exchanger who then in turn send the money to the receiver. This is done to increase the margin of safety both for us and the receiver.

    MTCN SOFTWARE

    NO SUCH THING EXISTS in a western union hack. Some new customers ask us if we use this. There is no MTCN software available in the world currently that hacks in to western union. In fact they are available for free on the internet like for example here: westernunionhack.blogspot.com but all you will get from it is probably a virus. Scammers also use this lie to lure newbies as they do not know this. The transaction is done by using a series of transfers to our exchanger using Fullz(full info cards) who then in turn send the money to the receiver. This is done so that the receiver receives clean funds.

    PERCENTAGE DEALS/BEGGING?

    We do not do percentage deals with people we do not know so please do not bother asking. The same goes for begging e.t.c.

    AMOUNTS OVER $10000

    Please note for transfers over $10000, for the western union hack, we divide the transfers but will equal your total amount: For example $20000 will be 2 transfers of $9000 and one transfer of $2000. This also depends on individual countries/Territories.

    HOW CAN GET MTCN + ALL DETAILS

    After we confirm payment wait 45 minutes then you get MTCN + all details for you to cash out. After your successful payment confirmation, You will receive the MTCN (10 numbers) + all details (sender name + country sender) for your cash-out money. You do get your MTCN immediately, whenever you want and anywhere that has Western Union. It is important to stay on standby during this time(45min to 1hr) while your transaction is taking place


    If have any problem with codes and pass extract, please send me email or chat via yahoo with your demo of payment . We will respond within immediately. We have a 24hr support service.

    Price Amount Details
    Price Amount Details
    $250 $3,000 MTCN ( all details info for the money)
    $350 $6,000 MTCN ( all details info for the money)
    $500 $10,000 MTCN ( all details info for the money)
    $700 $15,000 MTCN ( all details info for the money)
    $800 $20,000 MTCN ( all details info for the money)

    - I have sold to many customers worldwide and has created reputation for them. - I need serious customers to do long time business with me. If you really trust and want to buy from a good service hacking contact us through nkashekya@yahoo.com , siabrown.f@gmail.com
    This is only for serious people who want to make money. Their not going to be any negotiation of any mentioned price

    ReplyDelete
  13. wema fungeni ndoa sasa imetosha kuandika kila siku wema na diamond wekeni historia ingine ya arusi kubwa mahaters wabaki kinywa wazi hayawi hayawi mbona yamekuwa? one day yes wanaosema mtamwagana wao wanajuaje mipango yenu?Aliyetuumba peke yake anajua kesho ya kila mmoja wacheni kuwapangia watu maisha yao wanajua wenyewe hangaikiyeni yakwenu imewashinda mnabaki kuwabunia watu future zao wabongo noma sana

    ReplyDelete
  14. wema & dai mika100 wawaache mlale

    ReplyDelete
  15. Tumechoka Mavi yako wema. Wewe huna story nyingine zaidi ya kutombwa mjini. Wewe na wanaume tu kila kukicha hujisikii Aibu sometimes. Kuma itakuwa mtepeto. Kwa taarifa yako iko Siku utashuka utatombwa hata na wapiga debe. We ringishia kuma yako tu kila Mara. Punda Wewe

    ReplyDelete
  16. Muongooooooooooooooooo!!! Sijawai kuona chini ya Mbingu! Sitak kusikia Hbr zako!!'

    ReplyDelete
  17. WAAACHENI HAO YENU MNAYEWEZA??????????????

    ReplyDelete
  18. Matako yao hawan jpyaaa

    ReplyDelete
  19. You are welcome to the wonder land of hacks, want to know how to hack an ATM MACHINE OR BANK ACCOUNT? You can hack and break into a bank's security without carrying guns or any weapon.

    We are universal hackers and we just succeeded with an illegal invention.. well, this seems strange but true.. we just succeeded with hacking universal ATM machines with a blank ATM card.. These cards could withdraw $5000 per day, each of the card can only be useless once you withdrew the total amount of $10 Million United State Dollars. The card will make the security camera malfunction at that particular time until you are done with the transaction you can never be traced.. depending on how they are programmed..say goodbye to poverty, these cards are just for you.we know this is illegal but we are living large with it i do many things on low key to avoid suspicion.i am not going to give out the blank cards for free because we spent most of our time hacking it. so, we want to make them available for you. NOTE: The ATM cards has no registered account number, they can work anywhere in the world, and they are untraceable.We are currently selling this black card at a give away price of $120 to serious minded people. If you need this card, contact me with this email: info.hackcreditcard@gmail.com

    ReplyDelete

Top Post Ad