DIAMOND KUHUDHURIA TUZO AFRIMMA ZITAKAZO FANYIKA MAREKANI TEXAS

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

July 26 mwaka huu, wasanii wengi wakubwa Afrika kutoka katika mataifa ya 17 watakutana Dallas, Texas, Marekani kuhudhuria utoaji wa tuzo za kiafrika zinazojulikana kama ‘AFRIMMA Awards’, na tayari Diamond Platinumz tayari ameshaonesha uthibitisho wa kuwa katika daftari la mahudhurio siku hiyo.

Diamond amepost kwenye Instagram video inayomuonesha akifanya promo maalum iliyoandaliwa na watayarishaji akiwaambia mashabiki kwa swag za kimarekani kuwa atakuwepo siku hiyo, na kisha akaisindikiza na maneno yanayosomeka, “Yess! i'll be ryt there....Afrimma Awards 26/07/2014 Texas, Dallas (USA).”

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Big A Entertainment na African Muzik Magazine, zimelenga katika kuwatunuku wasanii mbalimbali wakubwa wa Afrika waliopo duniani kote na itagusa nyanja mbalimbali za burudani ikiwa ni pamoja na wasanii wa muziki, wachezea santuri aka Dj’s, watayarishaji wa muziki, mameneja na watu wanaousapoti utamaduni wa Afrika.

Tuzo hizo zinatarajiwa kusindikizwa na vicheko vya mara kwa mara kwa kuwa mshereheshaji wa shughuli hiyo ni mchekeshaji maarufu wa kimataifa, The Basket Mouth na atakuwa na muigizaji mrembo wa Nollywood, Juliet Ibrahim.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. chezea chibu,dimond.oyeeee dimondo,

    ReplyDelete
  2. Daa nenda shule kasome english

    ReplyDelete
  3. Diamond. You will never hear him fighting with an international artist, cause, let's face it, he English is zero. We all here about his travel trips, that's it, we never hear about his contribution to any foreign forum. Our society has chosen to follow the least intelligent amongst the bunch. No wonder our schools are failing and our leaders are not delivering substances..diamond is only diamond within Tanzanian borders. Outside Tanzania, he is a clown. No English no education

    ReplyDelete
  4. Kuma kweli Wewe rahisi tu wa china hajui kizungi kwani kingerez nin

    ReplyDelete
    Replies
    1. Please avoid using foul language. Kindly argue in English if you want to he heard..I know it's tough and rather impossible..that's what you get from " Team Diamond" stupidity and fear...

      Delete

Top Post Ad