DIVA LOVENESS NDANI YA PENZI ZITO LA CRAZY GK WA EAST COAST

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diva akipenda, ulimwengu wote utajua. Hajui kuficha siri na haoni shida kuweka wazi hisia zake wote wajue. Na kwakuwa Valentine’s Day ndio hii, mtangazaji huyo wa redio ambaye kwa sasa ana uhusiano na rapper wa East Coast Team, King Crazy GK, amewaonesha followers wake wa Instagram kuwa kwa sasa si Diva the Bawse tu, bali ni ‘Diva the Queen’.

Diva amepost picha inayomuonesha akipigwa busu shavuni na Mfalme wake na kuandika: Me and My GK….. closer .. kisses from US.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

15 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wanaume mliomla huyu mrembo mjitolee kutuambia ana nn au k yake ina sukari guru au ni asali ya tabora .hamkomi akishuka mtu anapanda mtu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kitu mnato asali mbichiiii.... Nenda na wewe ukajaribu.

      Delete
  2. Acha watu ajilie vyao

    ReplyDelete
  3. Sana tu nawe ukitaka katombeeeeeee

    ReplyDelete
  4. wewe uliecoment hapo juu ulitaka akitoka mtu iingie punda au ulikataliwa 2nawajua wa2 kama nyie mkikataliwa mnaanza majungu acha wa2 wale raha dunia na punguza majungu fanya kazi

    ReplyDelete
  5. Replies
    1. sijaona umalaya wake, mlitaka akae single forever au??? nyie mkiachwa hamtafuti wengine??

      Delete
  6. Kabisa wangu@ rahaa zenji

    ReplyDelete
  7. Anajisikia huyo dada wakat ovyo na Gk ashafulia hana jipya pyuuuuuu

    ReplyDelete
  8. Kwan akifulia mboo haifanyi kaz? Au mapenzi hayajui? Mwachen hata akiwa Na wanaume kumi ni uamuzi wake.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nahisi we ni Malaya mwenzie

      Delete
    2. Mineno kuntu hiyo.

      Delete
    3. Mwacheni atombwe kwani kaja kuwaazima kuma zenu jamani na nyie wanaume kama mmekataliwa si mkubali tu. Kwa raha zako DIVA waache maneno yawatoke kwa shida zao.

      Delete
  9. Wote na huyo bubuwake wasenge tu

    ReplyDelete

Top Post Ad