AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nia na madhumuni kutaka kufahamu je ushawahi kuwa na mahusiano na mvulana/msichana aliekosea namba kwenye simu yako ?
Na kama ushawahi je mahusiano yenu bado yapo hai au mmekwisha achana na mwenzi wako ?
Karibuni wadau tuweze ku share experience
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiyo hapo bado
ReplyDeletemi kicheche mzee wa kumega na kutema ila nshawatomba weng
ReplyDeleteusubiri na wewe ukimwi ukumege uone shwain wewe
DeleteYes nilisha wahi na mpaka leo mimi na huyo mtu nimarafiki sana! Lol
ReplyDeleteMi ilishanitokea na tupo ktk Ndoa sasa
ReplyDeleteMdogo wangu aliolewa kabisa, na ana watoto 2 na huyo mtu.
ReplyDeleteSoon......!!
ReplyDeleteNilishawai na sasa nipo nae kwenye ndoa two yrs sasa..
ReplyDeletenilishawahi na sasa nipo nae kwenye ndoa tuna miaka 6 sasa na mtoto mmoja
ReplyDelete