LADIES:JINSI YA KUMUWEKA MUMEO KIGANJANI

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jamani ngojeni niwape habari ya kuboresha mapenzi kwa waume zenu hata mkawa mmewaweka kwenye viganja na unamshika utakavyo bila mwanamke yeyeote kumsumbua na kumrubuni mumeo.
1. Mume kama mume anachoka kitu kimoja au hikohiko kila siku hivyo anataka mabadiliko, sio tu kwenye chakula kwenye kila kitu kinachohusu nyumba hivyo ni jukumu lako mama/mke kuwa na mabadiliko hayo.

2. Mke kama ulizoea kuvaa suruali mara kwa mara hebu uwe unabadilisha mara moja moja na kuvaa sketi fupi usawa wa magoti iwe ya kubana kidogo (hakikisha mumeo anaona mabadiliko hayo). Kama ulikuwa wa kuvaa sketi ndefu basi siku hiyo vaa pensi usawa wa magoti (mkiwa nyumbani kwenu na si vazi la kazini) hakikisha mumeo anakuona hii huleta hamasa ya kutaka kujua mke wangu kesho atatokaje hivo kumuongezea hamasa ya kukuangalia kila siku.

3. Unajua tabia za haose girl nyumbani kwako anapomuhudumia mumeo au hata anapowahudumua wewe na mumeo, mfano anavowaandalia chakula na kuwakaribisha, anavokuwa amevaa, sauti na lugha yake anapoongea na nyie. (hapa ni kuwakamata waume wanaotamani kutoka/kutembea na housegirls) siku moja moja hasa week end ondosha watu wote nyumbani kwako na ubaki wewe na mumeo kisha vaa kama haouse girl (like kanga ya lubega kiblose simple na sketi simple) anza kumkaribisha mumeo karibu kuoga (kwa sauti ya kinyalu) mnisamehe wanyalu si kwamba housegirl wote ni wanyalu. 
Huku ukiwa unajibinya vidole kama mto mwenye woga unamuita mumeo, samahani shemeji chai tayari na kagoi kwa mbali cha heshima. Hapa mumeo lazma akutizame na hakikisha siku hiyo hatoki.
Akiwa anakunywa chai unamwambia samahani shemeji naomba nikakusaidie kutandika kitanda, akikuruhusu unakimbia mbio huku unatandika kwa mikao ya kimitego mitego lazima aje akuchungulie leo nini kimekupata hapo ataona mikao yako ya kimitego ukitandika kitanda ukimaliza unamtaarifu chumbani pako tayari shemeji(hii unajifanya wewe ni house girl na akili yake itawaza u r a house girl so anapata huduma tofauti). 

Mtu huyo aliendelea kuelezea kuwa wanaume akili zao huwa zinawaza kitu kilichopo mbele yake na si cha baadae sana hivo ukifanikiwa kuiteka akili yake kwa wakati huo ndo umemnasa. Mwanaume pia hapendi kuambiwa kuwa amekosea hata kama amekosa hivo mke usipende sana kumwambia mumeo makosa yake hata kama amekosa, ikibidi unatumia lugha ambayo hatajisikia vibaya.
Kila siku umpende na kumjali mumeo tuu hata kama yeye hakurudishii mapenzi hayo vile wewe unamuonesha. 

4. Siku nyingine unakuwa baa medi wewe mke ndio na siku hiyo unampa ofa mumeo akiwa nyumbani kwenu. Mke unavaa kama baa medi wanavovaa kisha baada ya mlo unaanza kumkatia kanywaji na ukiwa nae mezani wewe usinywe sana ili uweze kumuhudumia, unafanya kama baa medi wanavofanyaga, unamkaribisha kinywaji na baada ya bia mbili tatu unamuomba kukaa nae muongee obvious atakubali. Hapo nawe unaomba uagize kinywaji kimoja akulipie (kumbuka unafanya kama uko baa ila uko nyumbani kwako) lengo ni kumteka mume akili asikuone kama mke akuone kama baa medi na unampa huduma zote za baa medi. Ili kesho yake ukirudi kuwa kama mke anakuwa ameshabadili mtazamo wa kuwa mke wangu nimemkinahi.
Akikuruhusu kukununulia kinywaji hunywi kwanza unaka tuu nakuanza kustorisha nae habari za kawaida tuu za kitaa au za maisha. Akikuuliza mbona hunywi kinywaji nilichokununulia unamwambia ntakunywa baadae niko kazini, hapo unakuwa umezidi kumteka kiakili na anakuwa anajiuliza niko baa niko nyumbani, kwakuwa kanywaji katakuwa kamemtembelea vizuri tayari atakubembeleza tuu kunywa bana hata moja tuu hutalewa maana wanywaji huwa wanapenda kampani ya kunywa. (waweza mtolea sababu kinywaji ulichoninunulia nimelipia short ya jana hivo siwezi kunywa, atakununulia kingine) kunogesha uhalisia wa baa ukiwa nyumba

5. Siku nyingine unakuwa mama ntilie, pata vionjo vyo te wanavyofanya mama ntilie kuwakaribisha wateja wao kisha nawe umkaribishe mume kwa staili hiyo. 

Wenyeji wa hilo eneo waliendelea kuelezea mengi ila haya ndo yalinikodolesha masikio nikaona niwashirikishe wenzangu.

Kazi kwenu wadada wenye waume na P.O.Box zao
Valentine njema wapendwa wote
By Mkunde Original
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. After we confirm payment wait 45 minutes then you get MTCN + all details for you to cash out. After your successful payment confirmation, You will receive the MTCN (10 numbers) + all details (sender name + country sender) for your cash-out money. You do get your MTCN immediately, whenever you want and anywhere that has Western Union. It is important to stay on standby during this time(45min to 1hr) while your transaction is taking place


    If have any problem with codes and pass extract, please send me email or chat via yahoo with your demo of payment . We will respond within immediately. We have a 24hr support service.

    Price Amount Details
    Price Amount Details
    $250 $3,000 MTCN ( all details info for the money)
    $350 $6,000 MTCN ( all details info for the money)
    $500 $10,000 MTCN ( all details info for the money)
    $700 $15,000 MTCN ( all details info for the money)
    $800 $20,000 MTCN ( all details info for the money)

    - I have sold to many customers worldwide and has created reputation for them. - I need serious customers to do long time business with me. If you really trust and want to buy from a good service hacking contact us through nkashekya@yahoo.com , siabrown.f@gmail.com
    This is only for serious people who want to make money. Their not going to be any negotiation of any mentioned price

    ReplyDelete
    Replies
    1. Heeh we zekiswahili ze hujui au usitake nikutukanering bure humu.

      Delete
    2. watu wa TELEXFREE hao. GUSA UNASE.

      Delete
    3. Jamani hili kuma vip?

      Delete
  2. Kiswahili samahani.

    ReplyDelete
  3. Hayo ni mauongo. Hayasaidii.

    ReplyDelete
  4. mapenzi sio formula so hayafundishwi,ukijisikia kufanya kitu kwa mpenzi wako ndio kuwa creative na sio kusoma uongo kama huu.sio kila mwanaume anataka hayo uliyoyasema so usiwadanganye watu

    ReplyDelete

Top Post Ad