AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa yapo maswali mengi yakujiuliza je mh membe hajahudhuria makusudi? au anaumwa? au lengo lilikuwa ni mh Lowassa???? habari za upande wa pili zinasema yuko na jk uingereza,nachojiuliza mh rais alikuwa hajui kuwa huyo aliyeandamna naye alikuwa akihitajika na chama ili ahojiwe??au ni upendeleo?
Zaidi najiuliza kichwani mwangu angekuwa Lowassa ndiye kakacha leo wangezungumza nn?
Nafuatilia, nitawapa habari kamili
Source:Jamii Forums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
sasa kama yuko ziarani kwenye shughuli za serikali afanye? na nyie watu wa udaku mnaushabiki wa mtu fulani humu, inaonyesha.
ReplyDeletewe mdikamponyo (mdau hapo juu) hakuna kitu kinaitwa LAISI!!! unataka lowassa awe LAISI, aisee sijui hicho ndiyo cheo gani tafadhali!!!
ReplyDelete