Acheni uongo. Kwa walioenda shule kidogo hii ni michezo ya darasa la tatu(std iii). Just a matters of light reflection.!! Mfano ukiangalia sana jua kisha uangalie pembeni utaona kitu cha duara sawa na jua ulilotoka kuangalia. Kwanini hujiulizi hajaweka picha nyeusi.? Sababu rangi nyeusi inanyonya mionzi na rangi nyeupe au ya kang'aa inaakisi.
Mungu wa dunia
ReplyDeleteWewe muogope Mungu! Huyo kwenye picha ndio Mungu wa dunia!!??
DeleteI don't see a thing.
ReplyDeletenaona Kush heaven. Full kumoka kush kama kawaidaa
ReplyDeleteNothing
ReplyDeletePicha kama unaiona tena halafu inapotea
ReplyDeleteNimeona picha ya yesu
ReplyDeleteNimeona picha then ikapote
ReplyDeleteHaaaa mtuuu au macho yangu? Ni nn hichi?
ReplyDeleteNimeona picha ya yesu
ReplyDeleteAcheni uongo. Kwa walioenda shule kidogo hii ni michezo ya darasa la tatu(std iii). Just a matters of light reflection.!! Mfano ukiangalia sana jua kisha uangalie pembeni utaona kitu cha duara sawa na jua ulilotoka kuangalia. Kwanini hujiulizi hajaweka picha nyeusi.? Sababu rangi nyeusi inanyonya mionzi na rangi nyeupe au ya kang'aa inaakisi.
ReplyDeletewe nae sura ushuzi..shule unaijua....sura ya yesu ndo inayoonekana ambayo ni ya kila kiumbe,nyau we kasome tena anza std 1 na huo uzee wako kazi unayo
DeleteHakuna kitu upuuzi mtupu.
ReplyDeleteSijaona chochote cha ajabu.
ReplyDeletehakuna kinachoonekana pembeni wapendwa muogopeni Mungu.
ReplyDeleteKama unaona picha tens then inatoweka. Nyie division 5 elewen swali Kobe nyie
ReplyDeleteoohhhhhhhhhhhhh my god! love that.
ReplyDeletemessiya!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletemessiya!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletenimeona tako lako ka sokwe
ReplyDeleteBora umempa makavu live
Deletekuna picha inatokea pembeni lkn ni kutengeneza tu so siwashangai binadamu wanaobingana na mungu wala hawanishughulishi
ReplyDeletenimeona picha ya yesu
ReplyDelete