MAMA WA KIM KARDASHIAN AWAFUKUZA KANYE WEST NA KIM NYUMBANI KWAKE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama yake na Kim Kardashian, Kris Jenner anadaiwa kumtaka binti yake huyo pamoja na mchumba wake Kanye West waondoke nyumbani kwake.

Ni Kris ndiye aliyemwalika Kim wakae pamoja baada ya mrembo huyo kujifungua mtoto wake, North West, June 2013, kwakuwa nyumba yao ya Bel Air ilikuwa bado ikiendelea kujengwa.

Lakini kwa sasa mwanamke huyo mwenye miaka 58 amechoka kujisikia kama mgeni kwenye nyumba yake mwenyewe na inadaiwa kuwa alimpigia simu mhandisi wa nyumba ya Kim kwa siri kumwambia akaze mkono amalize nyumba hiyo ili mwanae aondoke.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hii imekaaje hii..

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huyu admini msenge habr gani?

      Delete
  2. adim mkuma kweli unajua tu ku copy naku paste

    ReplyDelete
  3. Mxiuuuuuuuui,hovyoooo sasa ndo ameandika nn?mara amewafukuza mara amempigia cm mhandisi,mfyuuuuuuu!be creative we adm popompoo

    ReplyDelete

Top Post Ad