MWANAMUZIKI T.I AMCHANA MKEWE LIVE KWENYE INSTAGRAM BAADA YA KUPOST PICHA YA MAKALIO YAKE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Clifford Joseph Harris Jr. aka T.I, rapper wa Atlanta Marekani, ameshindwa kuvumilia baada ya kuona mke wake ‘Tiny’ amevuka mipaka kwa kupost kwenye Instagram mfululizo wa picha zinazoonesha makalio yake.

Ingawa rapper huyo toka Atlanta alikuwa na uwezo wa kumpigia simu ama kumtumia message mkewe huyo kumuonesha alichokuwa hapendi kwenye picha hizo, jamaa aliona dawa inatakiwa iwekwe pale pale kwenye kidonda! Hivyo akaandika pale pale palipomuudhi!!

“You have so much more going for u other than your a$$. Although it is so magnificent, I think u should spend just as much time showcasing those other things as u do ya #booty…awesome pic thou. Lov.” Ameandika T.I kwenye post hiyo.

Mkewe Tiny nae akamjibu kwa kung’ata na kupuliza, kwa kuwa inasemekana kuwa ameshachoshwa na ugomvi uliopo katika ndoa yake.

Alimjibu kwa kejeli T.I kuwa yeye hakuwa na nia ya kuonesha makalio yake bali alikuwa anataka kuonesha kiuno chake, na kwamba kumbe mmewe alikuwa anaangalia makalio tu.

“I wasn’t showing off my ass in this pic it was about my waist… u just looking at the ass bae! U know I wasn’t saying getting my sh*t together about my ass now don’t U? But glad u like it bae.”

Majibishano hayo kati ya wanandoa na mastaa wa kipindi cha TV cha Family Hustle kinachowaunganisha wao na watoto wao saba, yalisababisha mashabiki wao kushangaa na wengine walitoa ushauri kuwa T.I angetakiwa kutumia simu.

Tangu mwezi uliopita kumekuwa na ripoti kuwa wawili hao wako katika mgogoro mkubwa kiasi cha kusemekana kuwa wanataka kupeana talaka.

Tetesi hizo zilichochewa na picha za Tiny alizopost zikionesha mkono wake wa kushoto ukiwa bila pete ya ndoa. Iliripotiwa pia kuwa mwanamke huyo anaewaelewa watoto saba wa T.I na wake kwa ujumla wao, amekuwa akiparty sana akiwa na rafiki zake, tofauti na zamani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Duh! Ulaya hatari aisee. Kampa kitu kapewa kitu. Safiiii........

    ReplyDelete
  2. Mmmh mijinawake wenye vijimatako Kama sahani za magereza Wanapenda kupiga picha za kuonyesha hivyo vi minyoo!!!! Wenyewe navyo tunaogopa aisee simu italipuka!!! Nini sasa hicho Hapo juu!!! MINYOOOO!!!

    ReplyDelete
  3. laana kum...pumbavu kabisa huyu ''mwana-nke'' shenzy type. mtu umeolewa unaanzisha shobo la ni nini? kumbe hata yuropu wanajitambua. kuendeleza tabia za kitineja kwakati unalea familia ni upumbavu kabisa. mi janamke ya hivi ipo hata bapa bongo. haijiamini. i hate them all

    ReplyDelete
  4. mwanamke alivyo na akili za kikahaba, badala ya kuondoa picha anajibu.sasa anajibu nini?. hata kama sio matako yake, na hicho kiuno chake cha nini,anatuonyesha. akili za kimalaya hizi, kumamamamamaaaaaaaaaaaaaeeeeeeeeeeee zake.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Shontel ni zaidi ya chiz uyo kapinda TI mwenyewe haoni ndani

      Delete
  5. Mwanamke ndio alie wazaa nyie mazumbukuku! Sasa mnamtukana huyo mama kakosea nini! Wametengana na mumewe kwa sababu ya umalaya wa mumewe. Kila siku kuwa tukana wanawake tu, tumechoka kutukanwaaaa!

    ReplyDelete
  6. Kuma nyie ulaya haki sawa

    ReplyDelete

Top Post Ad