NAPANDAGA GARI YA HUYU DADA MARA NYINGI, ILA NGUO ANAZOVAAGA HUNIFANYA NIMUWAZE YEYE SIKU NZIMA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tunaishi wote mtaani hivyo mara nyingi tu hunipaga lift nikiwa labda natoka kazini au nikiwa naelekea kazini, wakati mwingine akiwa mjini hunipigia simu ili turudi wote mtaani ila niko na wakati mgumu sana huyu dada mrembo sana yani siwezi kuelezea hapa mkanielewa , nguo anazovaaga akiwa anaendesha ni za hatari sana yani hunifanya nimuwaze yeye tu siku nzima, sijui kwakweli nifanyaje wakati mwengine natamani hata nipenyeze mkono hata ni mguse tu lakini naogopa labda msaada wa lift unaweza kuishia hapo kama unavyojua usafiri ni mgumu sana hapa mjini. Naombeni ushauri wadau..!!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

19 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Acha uduanzi funguka kwani lift ki2 gani!

    ReplyDelete
  2. Mwambie ukweli zali la mentali hilo, we vunga tu ipo siku ataacha kukupa lifti kwa7bu ya udomo zege wako.

    ReplyDelete
  3. Hii inaonyesha weakness yako kubwa ktk sehemu ziguatazo,
    - approach, ni vipi ushindwe kumweleza km unamuhitaji.
    -uvumilivu, wengi watakuonyesha mapaja, na kukukalia uchi lkn haina maana lazima umtongoze or sio kwamba kwakuvaa kwake anakuhitaji.kumbuka hayo mapaja unayoyaona kwa saa hiyo moja kuna wanae fanya kazi nae wanashinda nayo kutwa.

    ReplyDelete
  4. Wewe ni mkware kuliko hata kikwet

    ReplyDelete
  5. We ni mpuuzi!kwa hyo unafikiri anavaa hizo nguo kwa ajili yko??

    ReplyDelete
  6. Usipande tena hyo lift kama ushajijua we ni penda penda!

    ReplyDelete
  7. Kuna maradhi.nenda upate ukimwi.uzinifu haisadii kitu.muogope mungu.utakufa buree baba.kwa kupenda bure.

    ReplyDelete
  8. Jamani Mbona wengine mnamshambulia si ameomba ushauri

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hata mimi nawashangaa, mtu kaomba ushauri halafu wanaishia kumtukana. Duh watu bwana.

      Delete
  9. Funguka Mkuu. Mtemee madini ubebe mzigo

    ReplyDelete
  10. kama huwezi kumweleza ukweli, ka vipi achana na lift
    hyo itakujeruhi, ila kama ujasir upo wa kumchana live chana make hyo ni nyama haina shamba, utalima wap nyabe*?

    ReplyDelete
  11. Mwambie hw unajifil juu yke...

    ReplyDelete
  12. Penda penda ovyo utaishia kwenye udongo,

    ReplyDelete
  13. mapenzi ya matamanio sio ya kweli...apo udenda unakutoka ukimpata na kmzoea utaona kawaida...lift kitu gani...inaweza ikakuponza ukapata na liugonjwa buree...tafakari..

    ReplyDelete
  14. ..........za kuambiwa ongeza na zako..........utakuta mwana si wako.

    ReplyDelete

Top Post Ad