AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Nyimbo zipo lakini sija release nyimbo, sijatoa nyimbo so far na sijui nani ameimba na sijawahi hata kuusikia.” Amesema Ali Kiba.
Mwimbaji huyo ameongeza kuwa watu wameona yuko kimya na wameamua kutoa wimbo kwa jina lake kitu ambacho hakina mantiki na kwamba anadhani watu hao wamefanya makusudi au wametumia sayansi ya sauti ku-fake sauti yake.
Amesema hajui lengo la mtu aliyefanya, “I think ni trick moja ambayo imefanywa sielewi na nani lakini I don’t know if in a good way or bad way”.
Ameiweka positively pia kuwa huenda aliyeiimba ni mtu anaemkubali yeye kama role model wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
eee!! makubwa hayo nashanga!!
ReplyDeleteIla kaka mbona ile sauti ni yako kabisa, na kama ni ya kuitengeneza basi hongera zao
ReplyDeleteMmmmm.....
ReplyDeleteKweli wabongo noma
ReplyDeleteasi2danadanye sio watoto ss
ReplyDeletejamani Mimi mwenyewe niliposikia hii nyimbo nilipata mashaka kwa anaeijua vzr sauti ya kiba atajua tu kuwa hapa tumeibiwa baada ya kupata hii habar sasa nimeamin kabisa
ReplyDeleteduh inashangaza sana sasa bas fanya uachie wimbo wko au unaogopa
ReplyDeletewimbo wenyewe mbaya!!!!!!!!!!!!!mimi naupenda dushelele..
ReplyDeleteNana inaelekea unataka dushelele likukandamize.
ReplyDeletekha...makubwa,labda sinta...maana anaga boyfriend.....sijui anajipijaga punyeto.
Delete