AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ukweli nadhai kwamba kama Sir Alex angekua hapa mwaka huu ingekua ngumu kwa Sir Alex pia,nina uhakika hata yeye analijua hilo. Nafikiri watu wanatambua kwamba kuna kikosi ambacho kimepita umri, kwa maana hiyo nadhani ingekua ni msimu mgumu labda kwa yeyote ambaye angekabidhiwa Manchester United mwaka huu,” alisema Moyes
Kauli hiyo ya Moyes imekuja huku Jumamosi hii kundi la mashabiki wa Manchester United likipanga kukodisha ndege itakayopeperusha kibendera chenye maandishi ya kumpinga kocha huyo. Manchester United imekuwa na msimu mbaya kiasi cha mashabiki wa timu hiyo kuanza kulalamika vikali wakimtaka Moyes afutwe kazi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Afukuazwe Hana Jipya Asijilinganishe Na Sir Fergie Kwa Hata Kama Ni Uzee Wa Wachezaji Dirisha Dogo Angesajili Kama Ilivokuwa Kwa Sir.
ReplyDeletewapi hana lolote hajui mpira
ReplyDelete