DHARAU ZINGINE HUWA HAZINA FAIDA..ONA HUYU DADA ALIVYOADHIRIKA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....
Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi ya ubungo,mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari kake akadondosha simu.Mimi nikamuita ili nimweleze kilichotokea,akanisonya tena msonyo wa dharau sana na nikajuta kumgusa bega kwasababu ya kibao alichonipiga.

Alipoondoa gari nikaiokota hiyo simu na kuondoka zangu,wala sikuizima.


Nafika town simu hiyo ikaita nikapokea kwa shauku ya kujua nani,haya ndo ya kawa maongezi yetu na mpigaji.

Mimi; Hallo habari yako
Yeye; Nzuri
Mimi; nani wewe 
Yeye; Mimi ndo mwenye hiyo simu ....
Mimi; Na mimi ndo nilokuita na ukanizaba kibao Pale stand ya ubungo leo na ukanisonya
Yeye; Basi kaka nisamehe naomba unambie ulipo nije tuelewane 
Mimi; Nitakwambia baadaye (nikakata simu na kuzima)

Swali nimwambie napatikana wapi au nimpotezee ili liwe fundisho kwake?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

45 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Achana nae xi alijion angel n jeur nying mwambie achp lpa

    ReplyDelete
  2. Mpoteze hana adabu

    ReplyDelete
  3. MPE tu coz hajielew

    ReplyDelete
  4. Hakuna kumpa acha ale nyodo yake....

    ReplyDelete
  5. msamehe upate thawabu

    ReplyDelete
  6. siku hizi hamna vya hivyo..achana nae,,,ingekuwa milioni mia ungempa au yeye angekupa tupa kule chukua cm.

    ReplyDelete
  7. Mpotezee ili iwe fundisho.

    ReplyDelete
  8. Niambie unaiuzaje ili niinunue?

    ReplyDelete
  9. MWAMBIE UKO BAGAMOYO........AKIKUFUATA HUKO MWAMBIE UMEPATA DHARULA UMEENDA MOROGORO UTARUDI BAADA YA WIKI AU AKUFUATE HUKO. IKIPITA WIKI MWAMBIE UMEPATA KAZI KIGOMA AIFUATE HUKO......HEHEHEEIYAA, JEURI AKAMFANYIE BWANAAKE

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hhhaaaahhhhaaahhhaaaaaaa penda sana hiiii hhhaahhhaaa noumaaa

      Delete
    2. Pumbavu zakee jnga nn, tupa kule na beba cm hiyo bahat yako

      Delete
  10. Hakuna Kumrudixhia Il Ajihexhimu

    ReplyDelete
  11. Stori za kutunga...upumbavu mtuuupu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hata kama ya kutunga inafundisha!! wewe ndio mpumbavu tena wa mwisho fala mkubwa

      Delete
    2. Tunga yak na ww, falas

      Delete
  12. mpotezeeee shwaini 2 huyo

    ReplyDelete
  13. kama ni kweli, mpotezee simu yako hiyo

    ReplyDelete
  14. Kama ni habar za kweli, huyo ni wa kupiga pumbu vizur sana, tena unammezea vidongo super shaft piga vibaya mno

    ReplyDelete
  15. mamamaee ukimrudishia ukapimwe ww sio mzima.

    ReplyDelete
  16. heshima muimu huo uwe mwanzo wa kuwa wapenzi mtombe kisawa sawa amsahau aliekuwa nae heshima muimu banaa

    ReplyDelete
  17. Achana naye ili ajifunze na ili iwe fundisho kwa.wengine ambao ukimuita anajua unataka chochote kwake.

    ReplyDelete
  18. Hii story umecopy

    ReplyDelete
  19. Mtafute mshikajI mwenye office babbbbb kubwa afu mwambie aje kuchukua hazima machine Kali park nje.hakikufatafata tomba afu mwambie ukweli kua vyote ni malipo ya kofi

    ReplyDelete
  20. Mimi nimeachwa na jamaa yangu sijui nifanyeje

    ReplyDelete
    Replies
    1. Umeachwa kivip na hii inausika vip mada hapo juu?

      Delete
  21. Achananae mbwa tu uyo mwanangu akinya hukai uzuri wake bure

    ReplyDelete
  22. Dawa ya jeuri ni kiburi

    ReplyDelete
  23. achana nae.akanunue simu mpya..alifikiri unamtaka..shenzi zake..ajui kama kuna watu wanatafuta waume hata chizi awaoe.

    ReplyDelete
  24. Msaamaha ndiyo nguvu ya maombi msamehe bure utona katunda

    ReplyDelete
  25. Usiwe kn yeye mrudishie simu yake

    ReplyDelete
  26. mpe tu na umsamehe

    ReplyDelete
  27. Hii stori ya kitambo jamii forum

    ReplyDelete
  28. Poa mkuu inafundisha cans msamehe tu

    ReplyDelete
  29. Huyo jamaa alocoment uende bagamoyo mara morogoro kisha akipiga mwambie umeenda kigoma kaichekesha sana hhahahahhahha watu mnajua kuongea shit hahahha safi

    ReplyDelete
    Replies
    1. hahaha hata mm nimecheka mpaka basi haki ya mungu kuna watu ni funy mpaka basi

      Delete
  30. Hicho kibao ulichopigwa c ndo tiketi ya kupatia sim, haina haja kurudisha malipo yake hayoo!

    ReplyDelete
  31. Huyo anaesema umecopy na yeye akacopy yake afu apest tuisome mwanga yy apunguze dharau sasa khaa!!! Ila iko poa saana chakufanya apo mpotezee ili ajifunze

    ReplyDelete
  32. Ubaya haulipwi kwa ubaya bro mpe tu bila mashrati yoyote wala ujira wowote,kashajifunza kutokana na ujinga wake.

    ReplyDelete
  33. Malipo dharau Ni kibri 2

    ReplyDelete

Top Post Ad