AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika habari hiyo tuliwataja aliowatembelea kuwajulia hali kuwa ni Rajab Maranda, ambaye anatumikia kifungo cha miaka 18 jela kwa wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), pamoja na mwandishi wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Salum Mkambala.
Hata hivyo, taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais imeeleza kuwa Rais Kikwete hakwenda kumuona Maranda bali aliwatembelea wanahabari wawili ambao ni Salum Mkambala wa Channel Ten aliyelazwa wodi binafsi D, na Margaret Chambiri wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi aliyelazwa wodi binafsi .
Taarifa hiyo pia inaeleza kuwa Rais Kikwete aliwajulia hali wagonjwa wengine wawili, John Mhina na Reuben Nyanga ambao wako chumba kimoja na Mkambala.
Tunachukua nafasi hii kuomba radhi kwa Rais Kikwete kwa usumbufu ambao ameupata kutokana na habari hiyo.
CHANZO: Mwananchi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Msirudie tena kubuni habari tutawafungia.
ReplyDeleteDunoma sanaaaaaa!
ReplyDeleteHebu muacheni mh.rais apumue jamani,anahitaji pongezi kubwa kwa kazi anayoifanya na sio huu upumbavu wenu mnaobuni mkikosa habari,pumbavu sana..
ReplyDeleteMwananchi hivi hamjui kuwa kama hujachunguza habari kwa kina na kupata uhakika, huna haki ya kuongea? Kuweni makini, na uandishi wenu. Mnadhalilisha watu.
ReplyDeleteUkanjanja. Wanamchafua mtu makusudi kisha wajifanya kuomba radhi kwa unafiki
ReplyDeleteMh nae hatulii kutwa hospitali kutwa kufungua barabara kutwa safari za nje.Enzi za Mwalimu ulikuwa haumsikii hata miezi sita.Mambo ya misiba na kwenda hospitali angemuachia Pinda.
ReplyDeleteasipofanya hivyo mtasema, akifanya mnasema watanzania hamna shukurani kabisa na wala hamna jema, mkibebwa nishushe mkishushwa nibebe lo
Deletewakati wa mwalimu ulikuwepo? acheni ujinga acheni atimize wajibu wake!
DeleteWewe ndio chizi kabisa
ReplyDeleteMchunguzeni mwandishi wenu habari aliipata wapi?
ReplyDelete