MVUA YAVUNJA NYUMBA NA GARI LA BABU AYUBU

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia siku ya Ijumaa 28 March 2014 imeleta maafa maeneo Kimara na Kuvunja Nyumba ya msanii wa Sauti na Muziki wa Kizazi Kipya maarufu kama Babu Ayubu, yeye mwenyewe anasema siku hiyo alirudi saa saba usiku na kujifungia ndani kwake lakini ilipofika mida ya saa kumi usiku akaskia kishindo Puup kushusha mguu wake kutoka kitandani akaona maji yapo kimo cha ugoko wake akajaribu kufungua mlango ukawa haufunguki kumbe ukuta ulikua umeangukia mlangoni na kuzuia usifunguke ndipo alipopiga makelele kwa majirani, wakafika na kumpa msaada lakini alipotoka nje akakuta gari lake limepondwa na matofali 1200, Babu anasema Gari hilo haliwezi tena kukaa barabarani so itabidi auze kwenye vyuma chakavu na kuhusu kulala amesema atalala katika nyumba yake nyingine kwasababu alikua amejenga nyumba tatu katika eneo moja na iliyoathirika ni moja tu. - See more at: http://www.makorokocho.co/2014/03/you-heard-mvua-yavunja-nyumba-na-gari.html#sthash.fNDXNdIU.dpuf
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mmh pole sana br, lakin ndo uzur wa kujiwekeza kujenga nyumba, ingekua umepanga ungepata shida sana

    ReplyDelete

Top Post Ad