AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inasemakana kuwa Mwanafunzi huyo aliyekuwa anasoma Uchumi kwa ngazi ya Masters katika chuo hicho amejinyonga mpaka kufa baada ya matokeo kutoka jana na kuonyesha amefeli.
Taarifa toka eneo la tukio zimesema kwa sasa shughuli za mazishi zinaendelea nyumbani kwao Njombe
.................RIP.......................
By Jennifer Livigha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Lakini wahehe ndio zao kujinyonga
ReplyDeleteDuh
ReplyDeleteFanya utafiti kabla ya kutoa mada,Kanywa sumu na sio kajinyonga
ReplyDeletehuyo mshenz 2 utajinyongaje wakat tayar una first degree pumbav kabsa
ReplyDeleteWahehe hawatoki
ReplyDeleteMaisha magumu nyie acha tu ajiue
ReplyDeleteMpumbavu wew wahehe wamekukosea nin? Nyooooooo fyuuuuuuu
ReplyDeleteKunywa sumu na kujinyonga sio suluhisho.
ReplyDeletehasara ya nchi hiyo nani atalipa hela za bodi
ReplyDeletehajatatua tatizo bali kaongeza polen ndugu wa marehemu
ReplyDeleteAliambiwa akipata masters yake ya uchumi shida zote kwisha sasa afanyeje wajamani?
ReplyDeleteMfinyu wa mawazo mimi nimedisco udom nimejipanga upya na maisha yangu yapo poa ukipata matatizo usipende kujiweka peke yako jaribu kutafuta ushauri kwa watu waaminifu japo wapo watakao kucheka
ReplyDelete