AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
" Happy birthday to this beautiful girl of mine aka mama lolo, mama yake mtoto wangu ,mother house, mother kitambi, mother misosi ,mother manager ,mother kila kitu... since 2002 till now 2014 we still gandana like super glue.... utatudanganya nini..... I love u so much na I wish u happy birthday uzidi nizalia mitoto mizuri mizuri kama lolo nipige hela mimi za posa.... live long live long live long! "
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
msikie eti mke wake azae watoto wazuri apige hela ya posa. Huyu mfanyabiashara wa watoto au?
ReplyDeletenkama furaha yake 2,na wala hajamaanixha vbaya.anaipenda familia yake,pia niweze kumpongeza kuw na upendo na kuvumiliana kama BEYONCE&JAY Z.
Deletelovely Msechu, keep t reaL..
ReplyDeleteMtu mwenyewe wa kuzaa watoto wazuri yuko wapi sura kama bi cheka.
ReplyDeleteacha wivu ndugu...ndo keshampenda ivo ivo ata kama sura nikama ya bi cheka!ivi watu wapoje!!...au ulitaka umzalie wew!?..weka sura yako tuione..kama si zaid ya bi cheka..mfyuuu...
DeleteWivu tu huna lolote.. weka sura yako tuone.. inavoonekana ukiweka sura hatutajua km wewe mwanamke au mwanaume af unamwita mwenzio bi cheka.. wivu tu unakusumbua.. wenzio ndo washapendana na wanaendana.. kaz kwako utakalia majungu tuu..
DeleteAliyempenda anajua uzur wake kwaiyo w anony sura ka bi cheka kaa kimya tena funga bakuli ...
ReplyDeleteNi mzuri jamani acheni majungu.Wewe unaeponda unawashwa si ajabu wewe ipo kama bundi.
ReplyDeleteBundi bibi yako mchawi.
ReplyDeleteBig up msechu
ReplyDeleteSasa wewe hujaoa umemzalisha mtoto wa watu ila watoto wako unataka waposwe angalia usije ukaishia kupokea wajuuu tu kaoe na wewe huyo mama watoto wako
ReplyDeleteMijitu mingne bana unasema amzalie mitoto mizur wkt sura ka bi cheka mtoto wake umemuona wewe?? Mtt mkali we na majungu yako utabak kuwa nungayembe mxiuuuuu
ReplyDeletejaman tatzo likowap? acha wvu usio na maana kam yamekushnda yamekushnda 2! mwanamke mbaya sio mke? n ww utakapoamua kumchagua mzur utampata kvyako.naye hajasema mzur,anazungumzia on his&her hap life.
ReplyDeletehata mksema mwenzenu anamaixha bora yenye furaha,pengne hata awala wako anakuzngua
ReplyDeleteNAWASHUKURU WOTE KWA COMENT ZENU NZURII.... NAFURAHI KUSIKIA HIVYOOO
ReplyDelete