Picha za mastaa wa filamu na muziki nchini Tanzania zimetumika kama mapambo katika restaurant moja nchini China. Kwa mujibu wa blog ya Swahiliworldplanet restaurant hiyo inaitwa Medina na haijajulikana kama inamilikiwa na mtanzania au lah, huku picha za Irene Uwoya, Diamond Platinumz, Johari na Vicent Kigosi "Ray" zikitumika kupamba kuta za restaurant hiyo. Angalia picha hizo hapo juu. Picha hii ya Johari na Ray inasemekana ilipigwa miaka kadhaa nyuma wakati wakiigiza filamu ya Revenge na ipo katika Restaurant ya Medina nchini China.
Safi sana ni kitu cha kupendeza sana angalau kuna wenzetu walioutambua mchano wao kama mastaa wa Bongo kwenye level za kimataifa. Tupende vya kwetu mweee
Kajirestaurant kadogo ghorofa ya 27.mtanzania mwnzt mtoto wa mwaibula hapo sinza' hata mangoma ya tz hupigwa sana hapo'watz weng wanapenda kwenda kula'picha zpo za wasanii weng mbona
Safi sana ni kitu cha kupendeza sana angalau kuna wenzetu walioutambua mchano wao kama mastaa wa Bongo kwenye level za kimataifa. Tupende vya kwetu mweee
ReplyDeleteVizuri sana
ReplyDeleteAlaaa
ReplyDeleteKajirestaurant kadogo ghorofa ya 27.mtanzania mwnzt mtoto wa mwaibula hapo sinza' hata mangoma ya tz hupigwa sana hapo'watz weng wanapenda kwenda kula'picha zpo za wasanii weng mbona
ReplyDelete