UGANDA YAZIDI KUPAKWA MATOPE NA MEDIA ZA ULAYA BAADA YA KUKATAA USHOGA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

The stupid western media especially this website www.tolaire.com are out to paint Uganda black by misinforming the world on the situation in Uganda in regards to the ANTI HOMOSEXUALITY BILL.

Last week they wrote this article http://www.tolaire.com/homosexual-burned-alive-uganda-adoption-anti-gay-law/ which is totaly false. That was a thief burnt in Kenya last year. A few days ago the same website claimed Sevo's daughter on some radio station claimed she gay and same website claims our president has a gay lover in S.A.

DONT TRUST WESTERN MEDIA ANYMORE, WE STAND FOR WHO WE ARE. TETUJA KULYA MABINA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

10 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. TETUJA KULYA MABINA!!

    ReplyDelete
  2. Kwani kilichosababisha uhuru kenyata na Museveni kumtenga Jakaya Si kwa vile alikubali ushoga Tanzania!!!! Wenzenu hawaogopi kunyimwa misaada wao wanamuogopa Mungu sn!!! Tanzania Ss Ni kuburuzwa tu!!! Ilioback Ni kuwaombea Watoto wetu sn! Eti oboma a

    ReplyDelete
    Replies
    1. Acha stori za vijiweni... Ina maana nkurunzinza na yeye alikubali? Tanzania hatujawahi kulijadili suala hlo!

      Delete
    2. Kweli jamani!! Fungukeni macho! Obama asingerusha mguu Tz Kama tungekataa ushoga!!! Mko wapi ninyi???? Wenzetu wana hofu ya mungu

      Delete
  3. EEee hivi ni kweli rais wetu alikubali ushoga!!!,,,Eee Mola wangu Tukinge na Utuokoe kwa dhambi hizo.....Kwa hili jamani ndugu zangu watanzania tumuombe Mwenyezi Mungu sana,,,kwani Akiamua Kutushushia gharka haitochagua aliyekubali ushoga,raiya mwema, shoga mwenyewe, mgonjwa, mtoto au mwendawazimu,,,Ni wooote!!!!!,,,kesi itakuwa huko huko Akhera,,,Eee Mungu Wetu Tusamee sisi waja wako,,kwani hatuna kauli kwa hao viongozi wetu,,na wala huyo Obama hatusaidii chochote,hata akimimina dollar zimwagike TZ kama mvua....Mola Wetu unajuwa Wapo masikini wengi TZ wanakosa hata maji safi ya kunywa...
    Mimi sina la Kusema Mola Ndo Muamzi wa yote,,,,Mola Wetu tuhifadhi sisi raiya wema,na baadhi ya viongozi wetu wema,,,,Amiiin

    ReplyDelete
  4. hakuna law ya ushoga tz, msilipuke jaman mtakuja umbuka vbaya nyie!

    ReplyDelete
  5. Niliwah msikia Mh. Rais akiojiwa wakati wa mkutano uliofanyika ungereza kuhusu ujangil wa tembo alipoulizwa ilo swala na mwandishi wa abari kuhusu tanzania na ushoga akasema hvy vitu ni nje ya mila na taratibu zetu saa we unayesema imepitishwa ni lin hy au lin umesikia bunge ata likijadil ilo swala msiwe mnasema maneno ya vijiwen kwa hy na rahis wa china alivyokuja ni kuunga mkono ushoga? nchi yetu inafursa nyingi na swala ni uwekezaji na sio ushoga.

    ReplyDelete
  6. vicent iyo ndo hali halis ni mambo ya uwekezaji2 na si vinginevyo izo habar zingine cjui wmezitoa wapi.....

    ReplyDelete
  7. kama ushoga upo tz mbona ha2oni ndoa zkifungwa! achen kuropoka kama uji mzito kwny moto mkal^

    ReplyDelete
  8. Well said vicent.

    ReplyDelete

Top Post Ad