UKATILI:MTOTO ABURUZWA NYUMA YA PIKIPIKI NA BABA YAKE KISA HAJAENDA SHULE

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani.

Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule hiyo alikataa kwenda shule kitendo ambacho kilimkasirisha baba yake aitwaye Jumanne Nkoyogi ambaye pia ni mfanyabiashara wa samaki mjini Geita.

 mashuhuda wa tukio hilo baada ya kuona asubuhi hiyo mtoto huyo akiburuzwa huku amefungwa kwenye pikipiki walianza kupiga makelele na kukusanyana kwa lengo la kumkamata baba huyo aliyekuwa anafanya unyama huo.

  Baada ya kumkamata na kumtia kumtia mikononi mwao walimpeleka kwenye ofisi ya sungusungu iliyopo Ihayabuyaga kata ya Kalangalala na kufungiwa humo kwa usalama wake.
Akizungumzia tukio hilo katibu wa sungusungu kata ya Kalangalala aliyempokea mtuhumiwa huyo Abel Richard amesema tukio hilo liliwafanya wananchi kujaa jazba dhidi ya mzazi huyo na kutaka kumpiga.

Amesema mzazi huyo kwa sasa anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Geita baada ya katibu huyo kuwasiliana na uongozi wa jeshi hilo na kuwatuma askari kwake kumchukua haraka kwa usalama wake.

Afisa upelelezi wa mkoa wa Geita Simon Pasua amekiri kuwepo kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa anashikiliwa na jeshi la polisi hadi sasa kwa upelelezi zaidi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kwa upelelezi upi ikiwa amefanya kweli

    ReplyDelete
    Replies
    1. mwenzangu

      Delete
    2. Si ndo hapo sasa yaan tz bhana dah!

      Delete
  2. Atandikwe viboko kumi matakoni akiwa utupu...Sijui kwann watu wa kanda ya ziwa asilimia kubwa wana roho mbaya....! Sijui hawana dini?
    .

    ReplyDelete
    Replies
    1. Lengo lango kabla sijasoma cmnt yako nlkuwa nawaza kuandika hvi hvi. Ni kwel watu kanda ya ziwa ni wanyama. Sitaki hata mwanaume wa huko.

      Delete
  3. nyie kanda ya bahari ya hndi mnaongoza kwa kusagana basi.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Bora msagaji kuliko muuaji kumamako zako

      Delete
  4. kanda ya ziwa wote kumanina zenu roho mbaya chuki umalaya sifa zenu wasenge wote kanda ya ziwa

    ReplyDelete
  5. matusi sio uhungwana please

    ReplyDelete

Top Post Ad