google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html VICTORIA KIMANI" SIDHANI KAMA KUNA KITU KAMA FREEMASON AU ILLUMINATI" | UDAKU SPECIAL

VICTORIA KIMANI" SIDHANI KAMA KUNA KITU KAMA FREEMASON AU ILLUMINATI"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Victoria Kimani, mwimbaji aliye chini ya usimamizi wa Chocolate City yenye makao makuu nchini Nigeria ameeleza kile anachoamini kuhusu uwepo wa freemason au Illuminati kwenye muziki muziki wa Kenya na imani yake kuhusu suala hilo.

“Ngoja niwaambie kitu, sidhani kama kuna kitu kama Illuminati au vyovyote vile ilivyo. Sidhani watakuja Kenya na kuwachukua wasanii wetu kwa sababu hatuna hata twitter verification. Hatuna hata video za nyimbo zilizohit zaidi ya milioni kwenye YouTube. Kwa hiyo sidhani kama niko kule lakini ninawa-apreciate kwa kunifikiria kwenye fikra zenu za timu ya illuminate. Mimi sio sehemu ya shirika ama jamii yoyote ya ‘secret society’.” Victoria Kimani ameuambia mtandao wa Ghafla wa Kenya.

Ameongeza kuwa yeye ni mwanamuziki ambaye yuko chini ya Chocolate City ambao wana imani ya Kikristo na endapo akijaribu kufanya kitu kama hicho wangemzingua.

Hata hivyo kwa pointi ya twit
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mtt anamdomo mzuri wa kupiga koni huyu!!

    ReplyDelete
  2. Anaonekana ana meno makubwa mpe koni uone akufanyie gaucho.

    ReplyDelete

Top Post Ad