WEZI WAMLIZA FLORA MVUNGI...WAIBA NA NYIMBO MPYA YA H-BABA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanadada Florah Mvungi amekumbwa na dhahama ya aina yake baada ya wezi ambao hawajapatikana mpaka sasa kuvunja kioo cha gari yake na kumuibia laptop yake na flash yake iliyokuwa na wimbo mpya wa mumewe H-Baba na kisha kuamua kuuvujisha wimbo huo kama alivyoelezea mwanadada huyo akionesha picha ya gari yake hiyo ilivyunjwa kioo hapo juu.



‘’…My car jamani ndo kwanza ina about a month since iingie mume wangu katoka nayo wamevunja wameiba laptop yake.flash yenye nyumbo zake yaani these thieves i hate youuuuuuuu..sasa mmeiba sawa haya na inakuwaje mvujishe wimbo wa hbaba?sasa mapigo mawili kutengeneza gari na wimbo mnavujisha TUBEBANE SONG haikuwa itoke sasa ndo nini?? Why kariakoooooo lumumba jamaniiiiii my new car..’’

Pole sana dada Florah
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Iyo picha ya gari iko wapi kuma wewe

    ReplyDelete
  2. WANASUBIRI DIAMOND AKITOA WIMBO WASEME NDIO ULE ULIOPOTEA!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. hahahaha hicho kingereza cha frola mi hoi ful majanga

      Delete
  3. We msenge acha kumtukuza domo, mnafirwa wote nyie na chief kyumbe pumbafuu,

    ReplyDelete

Top Post Ad