AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Saa tatu na nusu usiku wa April 23 2014 bomu jingine limelipuka ndani ya gari karibu na kituo cha Polisi Nairobi.
Waziri wa mambo ya ndani amethibitisha kwa kusema Polisi wawili wamepoteza maisha kati ya watu wanne ambao wameuwawa huku hao wengine wawili wakihofiwa kuwa ni Mahabusu waliokuwemo kwenye gari hilo na Polisi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hao wajomba wana madharau
ReplyDeleteyap kenye
ReplyDeletetoo bad.usalama hamna kabisa
ReplyDelete