KWA WANAUME-JINSI YA KUKARABATI PENZI LILILOCHAKAA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inawezekana hili lisiwe geni, lakini si vibaya kukumbushana.Fanya yafuatayo kurudisha upendo uliopotea kwa mkeo:
1.Jaribu kuwahi kurudi nyumbani kama ulikuwa una kawaida ya kuchelewa
2.Jitahidi kuja na zawadi mara kwa mara unapotoka kwenye mihangaiko yako hata kama zawadi hiyo si ya gharama
3.Mbusu mkeo kila unapotaka kutoka au unaporudi nyumbani
4.Jifunze kusema ASANTE kwa kila anachokufanyia hata kama ni wajibu wake kufanya hivyo.
5.Jifunze kuijuwa hobby ya mkeo, tenga muda japo wa saa moja kwa wiki kushiriki na mkeo katika hobby yake hata kama wewe si hobby yako
6.Jifunze kumpa credit(kumsifia) kwa kile afanyacho mf. Sifia chakula alichopika, namna livyotandika kitanda, malezi yake kwa watoto,mavazi n.k
7.Kaa pamoja na familia yako angalau mara 1kwa wiki na mfanye kitu kwa pamoja as a family mf.Fanyeni general cleaness kwa pamoja as a family and take part in it fully. Hii itampendeza sana mkeo na kuona namna unavyojali familia
8.Toka pamoja na familia yako hata mara moja kwa wiki/mwezi kwa matembezi ya jioni. Si lazima muwe na gari,mnaweza kutembea kwa mguu as a family kumtembelea jirani yenu au rafiki au ndugu aliekaribu na unapoishi
9. Shiriki michezo,homeworks na watoto wako. Mf usiku kaa mezani na familia yako ukiwasaidia watoto wako home works zao au hata kuwepo tu mezani wakati wao wanafanya home works, uwepo wako si tu ni muhimu kwa watoto lakini utamuonesha mkeo namna unavyoijali familia yako.
10. Do not demand too much, pia acha kulalamika. Ikiwa unapendelea mkeo akufanyie kitu fulani na hafanyi, usimlalamikie hovyo, show her how to do it, try to be example as a leader siku zote lead by example
11.Ongeza frequencies za kumpa mkeo haki ya ndoa, kama ulikuwa unampa mara moja kwa wiki basi ongeza iwe mara mbili au tatu and do it effectively and efficiently. Kumbuka hakuna MOYO MZEE, nae pia ana ihitaji huduma hiyo mara kwa mara
12...........Ongezea
Wanaume tusiishi na wake zetu kwa mazoea! Tukarabati makovu ya ndoa zetu na turejeshe furaha na amani ndani ya ndoa
NB:Japokuwa nimezungumzia wanaume tu, ila baadhi ya nukta zinaweza kuwahusu pia WANAWAKE,so Vice Verser is true!
Poleni kwa thread ndefu ila naamini urefu si hoja,ila content matters.
Usiku mwema!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Umeileta kwa muda muafaka, ahsante

    ReplyDelete
  2. Kwa mfano mume wangu tukiagana home au akitaka kusafir napenda nimpige busu hata akiwa garini lakin yy eti anaona aibu....ni ushamba au nn...nisaidien. yaan waume wa kiafrika kusaidia kaz home never
    ...labda apende hata kama wote mnafanya kazi..

    ReplyDelete
  3. Nimeipenda sana, thanks

    ReplyDelete
  4. Nimeipenda sana .asante.wanaume wengi hawapendi kujifunza kuhusu mapenzi.kama tunavyofanya wanawake

    ReplyDelete
  5. Its soo good in deed!! Big up!

    ReplyDelete
  6. ASANTE KWA SOMO

    ReplyDelete

Top Post Ad