AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mnaongelea kuhusu mipango yenu kazini, na namna ya kuboresha miradi yenu binafsi. Mkiwa katikati ya maongezi, anatokea jamaa mmoja. Ghafla anaanza kumrapua vibao mkeo eti anaringa sana.
Humfahamu wala hujawahi kumuona. Siku hiyo ndio unamuonba kwa mara ya kwanza na hii ndio picha yake hali baada ya kumaliza kumpiga mkeo
Je utamfanya nini ili kumzuia asiendelee kumuumiza mkeo?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwa sababu hatakua ni kichaa sitakua na la kumfanya, kama mtu ana akili timamu hawezi mpiga mtu bila sababu . Hata admn mina mashaka nawe kiakili, kuna vitu vingi vya maana na kuijenga jamii zaidi ya utoto ulioandika hapa, unajua kkoo kuna fujo?, mafuriko je? Vurugu za mbeya? Watoto wanaotupwa na kutelekezwa je? Acha kutumia nafasi uliyopata vibaya kaka/dada.
ReplyDeletetulia ww hii ndo maana ikaitwa udaku....ka unataka habari hz mbona kuna blog nyingi tu.ngekuwa me lazima nipambane ns huyo jamaa coz anaweza kumuumiza vibaya.
ReplyDeleteSasa Unataka Aandikaje Kuhusu Hayo Mafuriko? Kwanini Lazima Aandike Yeye?Si Uandike Nawewe Hz Habari Unazozitaka?Kwani Umezuiliwa Na Nani?
ReplyDeletepiga bastola tu!
ReplyDelete