AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gurumo akaileza Saluti5 mbele ya mdau mkubwa wa muziki Juma Mbizo sababu ya jicho lake kupotea.
Ilikuwa jambo la kusisimua sana. Alitupeleka hadi mbele ya nyumba yake na kukutana na mti wa mwembe na kisha akasema: “Leo nataka niwaambie jambo moja ambalo sijui kama yupo mtu anayelijua.
“Huu mti una historia kubwa kwangu. Hapa ndipo nilipopoteza jicho langu nikiwa na umri wa miezi mitatu.
“Mama yangu alinilaza kwenye kivuli cha mti huu kisha akaenda kuendelea na shughuli zake. Bahati mbaya likaanguka tawi na kutua kwenye jicho langu.
“Nilisimuliwa kuwa juhudi za hospitali hazikusaidia kitu, nikapoteza jicho langu,” alimaliza Gurumo na kisha akataka arekodiwe kwa njia ya video ili tujipatie kumbukumbu adimu.
Baadae tutakuwekea video ya Gurumo akisimulia namna alivyopoteza jicho lake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
inaonekanamamayako alikutoandaguyajicho
ReplyDeleteWe kuma asa ndo umeandika manini??
DeleteWewe hapo juu jifunze kuandika, pumbavu kabisa.
ReplyDeletechezea touch screen wewe. tuachie watoto wa mujin.
ReplyDeleteStupidity is not a crime so your free to be..hah
ReplyDeleteanoy 1:44 kazoea nokia toch buhahahaahaaa,mpumbav kwel hiyo ndagu we ndo ulikua mganga?kenge maji we kama umekereka kunya tikiti.
ReplyDelete