Baby Madaha:Shilole anatafuta kiki kupitia jina langu, kwanza si hadhi yangu. Siwezi kujibishana na msanii wa Vigodoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Stori: Gladness Mallya

MTIFUANO mzito umeibuka kati ya mastaa wa Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Baby Madaha baada ya kurushiana vijembe.

Awali katika gazeti la Amani toleo la wiki iliyopita, Baby Madaha alinukuliwa akisema kuwa Mwezi wa Ramadhani unambana kiuchumi, kwa vile kumbi nyingi za starehe zimefungwa, hivyo anakosa shoo.

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Shilole alisema anamshangaa Madaha kwa kukosa hofu ya Mungu, huku akimchana kuwa, haweki akiba, anaishi maisha ya kutegemea shoo ndiyo maana anaulalamikia mwezi huu.

Madaha alivyoelezwa kuhusu maoni ya Shilole, alikuja juu na kutema cheche: “Shilole anatafuta kiki kupitia jina langu, kwanza si hadhi yangu. Siwezi kujibishana na msanii anayetegemea shoo za kwenye vigodoro, akatafute pa kutokea.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

12 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Baby Madaha kiki wapiii Shish Baby ndio mpango mzima, umeambiwa ukweli acha ku ulalamikia mwezi mtukufu, jipange bibi ujue kuweka akiba.Vigodoro ndio mpango mzima uswazi wala hatukujui sie watu Wa uswazi vigodoro ndio vyetu.

    ReplyDelete
  2. Simwelewagi huyo Baby Madaha cjui anaimbaga vitu gani

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hee, kumbe tuko wengi tusiomuelewa baby madaha.
      hakika simjui hata
      anaimba nini.

      Delete
  3. huyo babu mahaba bado anaimba kumbe cjawahi ht ckia nyimbo zake huku kwetu mombasa tujauvyo anajiuzaga huko mtwapa

    ReplyDelete
  4. Bebi madaha nae Ni mwanamziki? Atumjui mikoAni, ILA huyo shilole tunamfaham Sana PIA c muigizaji. Shilole upo juu hata mikoani tunakupenda Sana.

    ReplyDelete
  5. duh baby madaha wangu, pole love u......

    ReplyDelete
  6. Mbona umeshamjibu?ungekaa kimya au ukaipoteza kiaina mara baada ya kuulizwa
    na waandishi wa habari.UMEPEWA UKWELI,WEKA AKIBA.

    ReplyDelete
  7. mh hyo baby madaaa anapenda kupanic hyo cku nili comment ig ckuelewagi acha aporomoshe maji machafu

    ReplyDelete
  8. Hivi huyu binti mbona anapenda sana masebene? mara amchokoze sukari ya warembo, leo kahamia kwa Shirori, sasa yeye muziki wake wa makapeti upo wapi apige basi ili amzidi huyu wa vigodoro, hizi ni dalili za kuanza kufulia na kuzeeka bila umaarufu hana wimbo wenye habari ya mjini kama wenzie walioimba MAJANGA, NIMEVURUGWA, NAKOMAA NA JIJI, KITORONDO, SITAKI DEMU, GHETO LANGU na KIMYA KIMYA. jamani hivi NI BARAKA AU LAANA kuitwa Madaha?

    ReplyDelete
  9. Shilole baby uko juu

    ReplyDelete
  10. mm naskia baby madah mwanamuziki magazetin na kwenye mtandao ila sijui hata wimbo mmoja alioutoa. shilole big up umempa ukweli anaishi maisha ya ndege so akiugua mwezi mmoja atakua fukara

    ReplyDelete

Top Post Ad