AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa jarida la Grazia la Uingereza, wanandoa hao wamewafanyia usaili watoto kadhaa huko Los Angeles na wameweza kumpata mtoto mmoja anaefanana na North West.
“There were auditions held in LA at a specialist agency and in the end they found a child who is the spitting image of their daughter.” Chanzo kililiambia jarida la Grazia.
Imeelezwa kuwa wamepanga kumpata mtu anaefanana mwili na mlezi wa mtoto huyo pia ili waweze kumlinda mtoto wao mwenye umri wa miezi 13 dhidi ya lens za kamera za Paparazzi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hahah tisha...wameanza design ya kama vile watoto wa Michael Jackson
ReplyDelete