Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘amechanganyikiwa na madawa’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki na mmiliki wa Ray foundation, Rehema Chalamila aka Ray C amefunguka kwa kusema kuwa alhamisi (july 10) alivamiwa na kupigwa na msanii Chid Benz.

Akizungumza na bongo5 leo ,Ray C amesema kuwa Chid Benz anatafutwa na polisi baada ya kufanya tukio hilo.

“kweli alinivamia alhamisi usiku, amenipiga mimi na amefanya uharibifu wa mali, mimi nashangaa usiku navamiwa ata sikujua nani amemuonyesha nyumbani kwangu, mimi nilikuwa namtafuta kwa sababu ya show ya kuelimisha vijana na maswala ya madawa ya kulevya, yeye akalichukulia kivingine kabisa, nahisi amechanganyikiwa na madawa ya kulevya, kweli itakuwa amechanganyikiwa na madawa, hayuko sawa kabisa. Sasa hivi nina RB yake , kwaiyo anatafutwa na polisi, kokote atakapo kamatwa anawekwa ndani, najua atajifisha lakini ipo siku atakamatwa na polisi tu. Watanzania wanatakiwa kushirikia na polisi ili akamatwe kwa sasabu Chid hayuko sawa kabisa” Alisema Ray C.

Quote of The Day:
“You can't depend on your eyes when your imagination is out of focus.” 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

21 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. chid ni TAAHIRA sababu anawaonea xana ma binti. kama yupo sawa ajaribu kuvamia wanaume.

    ReplyDelete
  2. nay wa mitego alamuimba katoboa pua cjui ananaanisha nn? au sio riziki kudadadek. kwa wadau wanaofatilia ngoma za nay waujua huu wimbo wa nay unaitwa nasema nao. sasa mbona hajamfuata the trou boy ampige! mana yule mwanaume mwenzake. angejalibu kumfuata nay amuonyesh mkundu huyu. Sio kumuonea dada ray c. wala hajamkosea chochote.

    ReplyDelete
  3. nay wa mitego alamuimba katoboa pua cjui ananaanisha nn? au sio riziki kudadadek. kwa wadau wanaofatilia ngoma za nay waujua huu wimbo wa nay unaitwa nasema nao. sasa mbona hajamfuata the trou boy ampige! mana yule mwanaume mwenzake. angejalibu kumfuata nay amuonyesh mkundu huyu. Sio kumuonea dada ray c. wala hajamkosea chochote.

    ReplyDelete
  4. C KWELI KATOBOA KWANI UONGO, ETI NAE ANAVAA KIPINI ANAUTAMANI UBINTI NA NDO MAANA KUTWA KUPIGANA NA WANAWAKE.

    ReplyDelete
  5. MBONA WEWE HUKUSHITAKIWA HATA ULIPOCHANGANYIKIWA NA MADAWA ZAIDI YAKE ULIHUDUMIWA HADI NA RAIS IWEJE LEO WEWE NDIO KINARA WA KUPELEKA MATEJA WENZIO POLISI?KWELI ALWAYS NYANI HUCHEKA MKUNDU WA MWENZIE YUNGALI WAKE PIA UKO HIVYOHIVYO!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Umesoma hii story or unavamia ku comment tu..Soma sababu ya Ray c kumpeleka chidy Polisi.

      Delete
    2. Asante mdau,katoka usingizini sijui

      Delete
    3. Rayc kasema " Chid akamatwe sababu hayuko sawa kabisa"na ndio nikasema aliyehayuko sawa si apelekwe kwa kikwete asaidiwe ye mbona anataka apelekwe polisi?mwehu anapelekwa polisi au hospital? MATAKO NYIE KAZI KUTETEA UJINGA!HUYU RAYC KENYA ALITUKANA WATU JUKWAANI ALIPELEKWA POLISI?PUMBAVU ZENU NYIE HAWA WOTE MATAAHIRA WANAHITAJI MSAADA,HUYU TAAAHIRA MWINGINE ANAONA WENZAKE NDIO MATAAHIRA ZAIDI SASA HIVI ANADHANI ATAWAFANYA MTAJI,CHID WA NINI ANAHANGAIKA NAE?MATEJA WANGAPI WANA HALI MBAYA UBUNGO?

      Delete
  6. Hamna janamziki senge lenye mambo ya kikuma kama chidi beenz.. cjui waarabu wa ilala wanamfira?? Cjui elimu nayo tatizo?? Nakumbuka alimuanzishia mambo yake ya kichoko marehem ngwea.. ngwea akamkwepa kesho yake kwenye media wacha atambe.. tena likawa linahoji "mbona ngwea kakimbia?? mbona kakimbia??" Huku linajivunia huo usenge wake wa ugomvi.. haikuchkua hata mwaka maskin ngwea akafariki.. cdhani kama waliwai patanishwa but likajitokeza kimbelembele huku kajawa na unafki kuimba mwimbo wa kumuomboleza ngwea.. hiyo ni moja tu ya mambo ya ajabu ya jamaa.. ila limejaa mauzauza.. cjui ndo kuiga ugengstar ukuma??

    ReplyDelete
  7. wewe kuma la mamako unadhani waarabu ndio wafiraji? jaribu uweke maneno sawa kuma wewe mkundu kuwaka kumamayo. mwarabu unamuingiza humu kwani wamekufira na wewe? hebu elezea vizuri mwanaharamu wewe

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ni kweli Mnapenda sana kisamvu

      Delete
    2. We mbona povu lanakutoka,ni kweli mnapenda sana kufira,wake zenu wakizaa inakuwa balaa,kwani hii si mnasema suna?sio haramu?Halooooooooooooooooo.

      Delete
    3. We mwarabu mbona umekuja juu yakhe?
      kwani ni uongo?mbona wasiseme mmasai wakasema mwarabu? waarabu ndio zenu...........

      Delete
    4. Sawa yote mtasema ILA nimeona chid anajali mtoto wake kuliko Ata huyo mama aliyeenda leba. Utaachaje mtoto Wako ukaenda kulala kwa shoga yako kwa kicngizio umechelewa kutoka ofcn? Bora kungekuwa na tatizo hapo sawa lakini kuchelewa kutka ocfn! Wadau mungu akikupa mtoto jaribu kuona amekupa kitu muhimu Sana ktk maisha yako! Chid pamoja na yte kwa Hilo yupo sahii, labda kama adhabu imekuwa kubwa zaidi.

      Delete
  8. pole ray c ucjal wivu lazma;

    ReplyDelete
  9. uyo mwaarabu cjui ?kawaka jaman utasema wanasingiziwa kwel mnapenda nyoro kwan uongo unang'aka bureeee!!!

    ReplyDelete
  10. ipo siku watafirwa wao kama mwalabu mmoja juz kat jina simtaj alifumwa na dem wa mshikaj wake gest. hawajamfanya chochte mle gest mshkaj akamwambia nimekusameh twend nyumban 2kayamalize! mwalab akakubali kuma la mamaaake walimfira wamemlekord.imetokea kaliakoo hapo juz kat. Safi sanaaa>

    ReplyDelete
  11. ipo siku watafirwa wao kama mwalabu mmoja juz kat jina simtaj alifumwa na dem wa mshikaj wake gest. hawajamfanya chochte mle gest mshkaj akamwambia nimekusameh twend nyumban 2kayamalize! mwalab akakubali kuma la mamaaake walimfira wamemlekord.imetokea kaliakoo hapo juz kat. Safi sanaaa>

    ReplyDelete
  12. Serikali lazima ichukue hatua laki kwa mijitu km hii inayoacha kupigana na wanaume wenzie na kuamua kudhalilisha wanawake,vitendo km hv havikubaliki. Chid km ana nguvu mbona alimkimbia Kala Pina? Nyambaff nalichukia sana hilo teja

    ReplyDelete
  13. Naomba niulize jmn.kwani chidi amezaa na ray C?kwanini mdau hapo juu unaongelea Habar ya mtoto ...kwamba anamjari mtt.

    ReplyDelete
  14. Kwani ray C na chid benzi Wana mtt?

    ReplyDelete

Top Post Ad