AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Aljazeera, maafisa wa Algeria wamethibitisha kuwa ndege hiyo iliyokuwa ikisafiri kutoka Burkina Faso kwenda katika mji mkuu wa Algeria, Algiers imeanguka Kusini mwa Mali.
Maafisa wa serikali ya Ufaransa wameeleza kuwa ndege hiyo AH5017 ilipotea kwenye radar katika eneo la Mali baada ya mvua kubwa kunyesha na inaelezwa kuwa vipande vya ndege hiyo vimeanza kuonekana baharini.
Ndege hiyo inayomilikiwa na kampuni binafsi ya Hispania inayofahamika kama Swiftair ilikuwa imebeba abiria 110 na wafanyakazi sita.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
oh!
ReplyDeleteNn tena jamani! Eehee mungu tuepushie kikombe hiki.
ReplyDeleteMungu tusameh
ReplyDelete