AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa umoja huo, Mwenyekiti wa chama cha wananchi-CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, amesema UKAWA wanatambua kuwa viongozi wa dini ni watu wenye heshima na nafasi ya pekee katika jamii, hivyo wana kila sababu ya kuheshimu miito na ushauri wao.
Prof. Lipumba amesema hayo leo jijini Dar e s salaam wakati viongozi wa UKAWA walipokutana kwa ajili ya kutoa tamko kuhusu miito ya viongozi wa dini kuwataka kurejea kwenye bunge maalum la katiba Jumanne ijayo
Kwa upande wake Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe amesema kuwa anasikitika kuona kauli za viongozi mbalimbali wa CCM pamoja na Serikali wakitoa matamko ambayo hayaashirii kutafuta muafaka.
Aidha Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi Jemes Mbatia amesema ipo haja ya serikali kuangalia namna ya kuboresha sheria ya uchaguzi ili kutoa nafasi ya kufanyika kwa uchaguzi mwakani kutokana na dalili zilizopo ni dhahiri kuwa katiba mpya haiwezi kupatikana katika kipindi kilichopangwa.
UKAWA wamedai kuwa waliamua kuondoka bungeni ili kupinga njama zilizokuwa zikifanywa na wajumbe wa chama cha Mapinduzi za kuhujumu mchakato wa katiba mpya, kupinga kauli za kejeli, lugha za ubaguzi, uchochezi na matusi, pamoja na kile walichosema ni kushindwa kwa mwenyekiti wa Bunge hilo kuwadhibiti wajumbe wanaokiuka kanuni
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nyambafu zenu. Masharti yaliyowekwa wazi mbona siyaoni?
ReplyDeletehuyaoni ipo siku utayaona
ReplyDeleteMatako
DeleteSiku ipi? Mkundu wako!
ReplyDelete