AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Masanja alisema haya “Street Pastor Anasema.. HILI SWALA LA DIAMOND NA WEMA NADHANI MUNGU AMEMUHURUMIA MMOJA WAPO KATI YA HAO WAWILI. KAMA WANGEKUWA WATU WA KUOANA WANGESHA OANA UCHUMBA GANI MREFU KAMA WANASOMEA UDOKTA???? RAFIKI YANGU NASIB, KAMA KWELI MLIPENDANA KWA DHATI HIZO KASORO ZINAREKEBISHIKA, MAANA HAKUNA MWANADAMU ALIYE SAHIHI KWAN HATA WW NASIB UNAMAPUNGUFU YAKO. NA WEWE DADA YANGU WEMA LAZIMA UJUE MME NDIO KICHWA CHA NYUMBA KWA MAELEZO HAYO INAONYESHA HAUMSIKILIZAGI MWENZIO OMBA MSAMAHA TENAAA NA TENA NA UKUBALI KUBADILIKA. MI SIPENDI MKIWA MNAONGOZANA WOTE KWENYE MA SHOW YA USIKU MME KAFANYE KAZI MKE ABAKI HOME UKIRUDI MWILI UMEPOA HATA UJAUZITO UNAINGIAA!! SASA WOOTE STEJINI MKIRUDI MIILI YA MOTO SI MTAZAA POPOMPOO JAMANIII!! NITAFURAHI KUSIKIA TOFAUTI ZENU MMEZIMALIZA KWA AMANI ILI MASHABIKI WENU WASIJISIKIE VIBAYA.” - See more at: http://moro5.blogspot.com/2014/08/masanja-naye-apigilia-msumari-ndoa-ya.html#sthash.p3ZSjPaz.dpuf
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
popo lazima azaliwe.
ReplyDeleteWatafsirie bwana mdau huku
ReplyDeleteNibongo is not English kiswahili lugha yetu
Hahaaa Massanja umeoa? mi nakutaka uniwowe!
ReplyDeletePoa moyo, atakuwowa!
DeleteNi kweli ila toa boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzako...
ReplyDeleteMASANJA UNAFIRWA NA JOTI MSENGI WEWE MKUNDU WAKO
Deleteusipende kutukana jmn......khaaa
ReplyDeletehahahahaha
ReplyDeletepoleni
ReplyDeleteKaaazi kweli kweli!!!
ReplyDelete