google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mambo Ambayo ni Diamond na Wema tu, Ndio Wanaoweza Kufanya Hapa Bongo! | UDAKU SPECIAL

Mambo Ambayo ni Diamond na Wema tu, Ndio Wanaoweza Kufanya Hapa Bongo!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hivi ni vitu ambavyo inabidi tu tuwaachie Diamond na Wema waendelee kufanya yao, wengine wabaki watazamaji tu, afterall siyo kila mtu yuko kwenye movie yao ambayo bado inaendelea, hii ni moja ya celebrity couple inayopendwa na watu wengi zaidi nchini Tzee na nje, ila kwa haya wayafanyayo, hutakuja kuona couple wowote hapa tzee wakifanya haya wanaofanya yao, labda huko nchi za wengine ila kwa hapa Bongo, ni Wema Sepetu tu na Diamond Platnumz ndio wanayoweza.

Kudai kutengeneza movie ambayo haijatoka hadi leo”Temptation”

Kati ya vitu ambavyo si rahisi cople wengi kukuta wanafanya pamoja ni movie, ila kwa hili la wapendanao hawa ni noma zaidi, ndio moja ya celebrity couples ambao wamewahi kudai kucheza movie wakati walipokuwa wameachana, ili tu wawe karibu pamoja, ikiwa inasemekanailikwenda kufanyiwa shooting nchini China, na ikiwa nimwaka wapili huu sasa wamesharudiana, na movie hiyo haijakamilika bado,huku ikibakia msemo tu “Acha movie iendelee”.

Kuachana na kurudiana zaidi ya mara mbili.

Kama ni vituko basi hapa huwa haviishi, saa zingine unaweza kusema ni mapenzi kuzidi, ila kwa Diamond kuvalishwa wigi, kupigwa picha na mpenzie(Wema) na kupost kwenye mitandao ya kijamii, Only Diamond na Wema ndio kweli wanaweza kufanya hivi, katika miaka hata ya baadae, sidhani kama watatokea couple maarufu wenye vituko kama hivi, ni nadra sana ukute mtu maarufu wakiume kuvaa wigi la kike, kupiga picha na kupost kwenye mitandao.


Kurekodi video  wakiwa kitandani na kupost kwa mashabiki kuangalia.

Kama ni love ku-show love kwa mashabiki iko poa zaidi, kwa Diamond na Wema ndio inasemekana kuwa hata baada ya kudai hapo awali kuwa kwa sasa wanataka kuweka mambo yao yawe yao binafsi, ila ndio couple waliowazi zaidi ku-show mambo yao hadharani, si couple wote hapa bongo wenye uwezo wa kufanya hivi, zaidi ya kujipiga picha wakiwa kitandani na kupost kwenye media. Tumezoea kuona watu wengi hasa maarufu wakifanya mambo yao kwa siri zaidi, ila kwa couple hawa wako wazi sana wakifanya mambo yao.

credit : vibe
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. CHOKOOOOOOOOOOOOO! umemiss comments kuhusu wao eeeeh?

    ReplyDelete
  2. Eeeh htr mdau hapo juu..

    ReplyDelete
  3. jamaa kuma nini sasa hapa kuna jambo gani la maana mbwa tuu hao huyo wema muuza kuma na domo nae sura kama marehemu

    ReplyDelete
  4. huna sababu ya kuwatukana m2c aliye waandika

    ReplyDelete

Top Post Ad