Picha: Ben Pol Azua 'Zogo' Baada ya Kupost Picha ya Alicia Akiwa Mtupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki wa RnB Tanzania amezua balaa katika baada ya kupost picha ya mwimbaji wa kike Alicia Keys akiwa mtupu na mjamzito na kuandika ‘I Love it’ .

Picha hiyo imepokelewa kwa mitazamo tofauti ya mashabiki wanaomfuata Instagram ambapo wengine walionesha kushangazwa na kitendo hicho huku wengine wakimsapot na kumtetea wakieleza kuwa hakuna kosa kwa kuwa alikuwa anasapoti kampeni ya ‘We are Here’ inayopewa nguvu na Alicia kwa mtindo huo.

Kampeni hiyo inatafuta sapoti ya watu wote duniani wanaopenda dunia iwe na amani kwa ajili ya kuwalinda zaidi watoto. Alicia amefanya wimbo maalum kwa ajili ya kampeni hiyo na ameeleza kuwa anataka dunia nzima iuimbe.

Ingia hapa kufahamu zaidi kuhusu kampeni ya We Are Here inayolenga katika kuhamasisha amani na uzazi salama kwa ajili ya watoto wote duniani.

“It’s you and me on a mission to create a kinder and more peaceful world. The #WeAreHere Movement begins today. Read more here and thank you @nickkristof for sharing your bright voice with all of us. (Link in bio).” Aliandika Alicia kwenye post yake aliyoweka picha hiyo.

Hizi ni baadhi ya comments za mashabiki:

JohnKyara: Alicia Keys ni among verY few singers wasiokuwa na skendo za nude Pics ... Currently anafanya project aliyoiita WE ARE HERE na lengo la hii project is to channel her music and her fans to social justice causes, from stricter gun laws to criminal justice reform, from gay rights to global girls’ education... Kaongea mengi Kuhusu Blood sheds huko Gaza, raping and all kinda staffs .. Na yeye kama yy kasema idea ya pic ni ku draw attention ya fans wake ili wajue wat she z doing for the world . . Mnaopaza saut kukemea jiulize mara ya mwisho kumsaidia mtu ilikuwa ni lini?. . #Instatarumbeta tuuu, na uvivu wa kutaka kujua Zaidi



Cleophaskalega: Cijui nani yake lakini ni kuzalilisha wanawake, wakati ye kioo cha jamii@ maalimswafi.

Read more at http://websta.me/n/iambenpol#a1sot4Hjof7ZJ82L.99

Jarumanunited: Kioo cha jamiii maaana yake nini nyiee acheni hizo mambo za Mwaka 47 , kamuweka tu huyo dem as it seems anaweza Akawa tayar mjamzitoo

Lilyana_g16: @iambenpol thank you for posting this, The cause is fulfilling & I think she looked super sexy pregnant way better than u judgemental, conservative & ignorant #instatarumbetazzzzzzz (or ur hoe's/bae's/wife's - whatsoever)

Harunabobani:  Mbona ts like people are talking shits....every one has the right to whatever he/she wants....respect to @aliciakeys ....jamaaa aliepost hii picha HE IS ONE OF MY FAVRTE R&B SINGER APA BONGO respect to ya @iambenpol

temy10 Yah nice @iambenpol 9h

 jurgenroc @drydenbryden watanzania wana hasira c mchezo maskin Alicia 9h

 jarumanunited Yeye kapenda kuweka kama ana kubore mu unfollow 9h

 stansylambat Ni sahihi huyu ni Alicia Keys.., Lakini Hii imekushushia Heshima kidogo.! 9h

 prostevejr nmekwazika @iambenpol 9h

 cutemy10 U know wanawake huwa hatu dhalilishwi wenyewe ndio tuna jidhalilisha my dia usitukane bure kwani huyo ben pole kaenda kumpiga pcha au kapiga mwenyewe big dada then sorry ni hili tu umeliona linatudhalilisha@cleophaskalega and @neliusneestory 9h

 misshatibu Duh this people who comments are judgemental&ignorant,they don't even no y she did that?they don't even know y u posted her

 heddyson12 Nilikuwa nakuheshimu saana wewe kama kioo cha jamii, unapost picha kama hii bwana, hacha utoto bwana wewe!

 ansiqthedonjames Tuache kama ilivyo lbda kapenda kmchek alickeys

 lilykifaluka Mmmmmmh@iambenpol,naw umezid yan nahis sasa utatuwekea uchi sasa maana duuu 9h

 nichodaffa Uyo @aliciakeys iyo pic amepiga mwenyewe n tc a campaign o a project named #iamhere so kama mtu ameipenda is t bad for him to post t. By the way even u, u r kioo cha jamii ila ujajijua tuu kama amekubore unfollow

 rklzi Nc

 marynyabenda Lakini sio poa kabisa tambua hata wewe ulikuwa humu jaribu kutustiri jamani,muheshimu sana mama kwani pepo yako ipo chini yake c et my @doble_j_2 9h

 chricsam Mnajfanya Mnamaadir Pumbavu Wengne Malaya Humu Hamna Lolote! Love @aliciakeys love @iambenpol We Post Wakuchukia Ni Mmewe SwizB Sio Nyie Watomba Watombwaji 9h

 siahkhamis Jamn majaji mtende haki isimshushie heshima aliepiga na kuisambaza imshushie jina yy??

 totochokozi Gjjgfyujbnlyqfhloiuyfuck ujkejkiekrruykyoy 9h

 moodychanday Kwan aliyepost hiyo picha na aliyepiga nani Kioo Cha Jamii zaid ya Mwenzie!!? 9h

 jarumanunited Kwani aliepostiwa hapo ni mama enu ??? Hebu muaacheni Ben wa watu malaya wakubwaa nyiee , halafu watu kama nyiee ndio mnaongoza kwa kufilanaa 9h

 hashimsagitoi Dooo?salala.. 9h

 eye_de_marie oh my God many people are so ignorant... Kama hujui sababu ya mtu kupost kitu alicho post ni bora unyamaze....kwani nini cha ajabu hapo....mbona picha za utupu mnawatch au kisa hamjulikani thats why mnakuwa wepesi wa kujudge watu....acheni ujinga wa kujifanya nyie ndo wenye heshima kumbe hamna lolote.... He posted that because he has a reason behind so stop being so fool minded.....let him do his things the way he likes...you are not God to judge him so stop the bullshit....we all have haters so if you hate @iambenpol just unfollow him ok...go live ur poor minded life you all that hate people for no reason

 leylaally92 Mmmmh ben nakukubali sana lakin tena jaman dah@iambenpol 9h

 who_iz_salmenah_bebe mmh

 suma_john @eye_de_marie well said

 cutehildambisa Jamani muache Bernard wa watu ye kakop na kupesi km anasema mkandamizajii.. Aliyekubali kupigwa hiyoo picha ndo fu***k co @aimbenpol ..mtukaneni Alicia na mmewe ### Over 9h

 d_brother_mjukuu_wa_ntimba In short ukisapot ugoro nawee ni mpenda ugoro xo means huyo ben pol ata yeye anawaza kufanya hivyo coz hajatupia comment tukaelewa alicho kiwaza kupost hiyo pic 9h

 ben_gulayi Mbona face ka alicia Keys? @ ben pol

 obi_g_mbise @lytxbaybie

 hapixlucas Nyie vp??? Kioo cha jamii gan?? Jtu zma miaka 39 lnalalama et kioo cha jamii,km hukufunzwa kwenu uctegemee ben akufunze nyambaf!! Wengne mmejaza pcha za x kwny cm zenu saiv mnajdai kioo cha jamii my foot!! Hamjui ata kwnn kapost @nichodaffa baelezeee!! Mfyuuuuuuu! 9h

 lemyjohn Wote mnaocoment kumtukana @iambenpol hamjelew hamna uelewa tuseme hyo pic benpol alienda kumpiga pic we unajua kaitoa wapi ye huyo Alicia keys mnafikir ye mjinga kama nyie hajui kama hyo pic ipo kwenye mitandao asingeirusha yye hyo benpol angeionajee wee kma huoni yee ni kioo cha jamii unfollow account yake nawala hajarusha kwa maana mbaya @#all 9h

 neliusneestory :Haufai hata kwenye jamiii msenge ww umekosa picha za kuweka k.m....

 doble_j_2 : Mh ni shidaaaaaa jamani @marynyabenda mh yetu macho

 rakwisha :I looove it tooo

 littoface Hahaa Tanzania kwa kujudge hamjambo! Loool!, @iambenpol I looove t!

 matnardmb Utakoma @iambenpol

 samirnasibu Hahahahahaha umenichekesha sna @jarumanunited.

 mwandiga Hilo nalo nenooooo @hapixlucas

 thayna_tannah I luv......2

 queenmartha1 @iambenpol

 tajiri_wa_mahaba haaaaaa jamanii mimi napita tu humu ruksa kunifollo 9h

 mwavitayamungu Asante sn @cutemy10

 eye_de_marie Thanks my....i hate these kind of people....they do nothing but judge people...if you take their phones some of them wana video za x na naked pictures ambazo hazi wasaidii chochote bt my @iambenpol posted that picture of #iamhere by @aliciakeys kwa sababu zake ila wenye akili mbili wanakimbilia kujudge bila kujua sababu zlizofanya afanye hivyo. Angepost rihana picha ya uchi wange like na ku comment "sexy" na utumbo kibao ila kisa @iambenpol amepost waananza diss eti watamshushia heshima..kwani heshima zenu zinamlisha. Wengine hata mama zenu hamuwaheshimu alafu mnabwabwaja.....go live ur lives khaaaaaaaa.....usilolijua litakusumbua so its better to SHUT UR MOUTH

 mwandiga Naungana na ww @eye_de_marie,

 lopezmrema Sas kosa lake nn???kama unaona kakuboa jiblock kila mtu Anaright yakufanya anachojisikia......binadamu bwana!!!!!bwahahaaaa love dat!!..@iambenpol

 brendamnguto Love it also soooo gooood, watu weusi bhn kama mimi mnafurahsha kioo cha jamiii kinausiana nini na hii pic sasa kwani ben yeye ndio camera men yeye ka copy na ku paste how cum mwamtukana kueeeeni na fikira sio kumtukana tuuuuu foooools nyie mnae mtukana ben maaaana mwaaandika bila kufikiria,@neliusneestory wewe ndio utakuwa msenge kwa sababu watukana mtu ambae yeye pia ameiga wataka aweke picha za ma padre na askofu na masheikh,msenge wewe mi nachukua majitu yanayo ongea without kufikiria stupid

 ridifrid Nyie hebu achen hzo kubishana msivo vijua ua right kabisaaaa @iambenpol kama unajua kiingereza na unaakil timamu analia @aliciakeys mfollow utajua maana ya hyo pcha.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad