AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wasira alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akizungumza katika mahojiano maalumu na gazeti hili mjini Dodoma.
“Watakaposema ruksa, nitasema na wala kugombea urais si suala la kuonea haya. Ni kutoa huduma kwa Watanzania. Unalionea haya la nini? Kwani kugombea urais ni ukwe?” alihoji Wasira na kuendelea;
“Urais ni mama mkwe wako, hapana. Wakati ukifika nitasema tu. Na mradi kuna wananchi wanasemasema na wananitia moyo, ukifika wakati nitasema.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hapo ndio katabasamu akinuna inakuwa vipi?
ReplyDeletetutakimbiaaaaa!!! akkinunaaaa!!!! dahhh
ReplyDeleteNyie watuuuu,endeleeni kucheza Na Mungu.Alijiumba?
ReplyDeletejaman muogopen mungu ameumbwa km mlivyo umbwa nyie na mwenyez mungu.
ReplyDeleteHivi huyu jamaa alivyokuwa mdogo alipigwa na RADI???
ReplyDeleteNi shiiiiidaaaaaaaaa!!!!!!
ReplyDelete