AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Baby Madaha alisema, hofu yake hiyo inatokana na namna mwanaume huyo anavyotapanya pesa huku akitangaza dau kubwa ili kuwapata mastaa wa kike.
“Kimsingi mimi nina wasiwasi na afya yake, asije akawa anataka kutumaliza. Mimi simhitaji hata kama ana mamilioni yake. Hofu yangu ni hii tabia yake ya kutaka kutupitia sisi mastaa, wanaokubali kuwa naye eti kisa ana mkwanja nawaonea huruma,” alisema Baby Madaha
GPL
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hilo nalo mlione asijewamaliza akaondoka zake kongoooo
ReplyDelete