Majambazi Wavamia Benki ya Stanbic Tawi la Mayfair, Msasani na Kupora Kiasi Kikubwa cha Pesa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Benki ya Stanbic tawi la Mayfair, Msasani, Dar, leo imevamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi na kupora kiasi kikubwa cha pesa. 

Wamekuja na Noah nyeusi wakapark kama wateja. Walikua wawili, mmoja akapanga msitari mwingine akaenda kujaza fomu za kuchukulia hela. Yule alopanga msitari akafunga mlango na yule Askari akakunjwa akanyang'anywa alarm. Yule alokuwa anajaza fomu kawambia wateja nyote lala chini, alikua anamjua mwenye ufunguo, wakasema Anna leta huo ufunguo. Akataka kugoma walipomnyoshea mtutu akatoa. wakaingia Kwenye chumba cha hela wakakomba hela zote wakapakia kwenye Noah. 

Wakawaaga na kusema iteni hao Polisi wenu. Hamna aliyeumizwa zaidi ya Askari kukunjwakunjwa alipotaka kubonyeza alarm.

In Kidhungu:

Today at stanbic mayfair plaza:

...Gang of armed robberies, arrest security guard, took the remote buton and proceed to strong room key custodian who was coming from wash room they open the strong room and ATM took all money Customers, USD 175,000/-, Euro 260,000, £190,Tzs 186mil. ATM 30mil....

Staff and our guard locked in strong room and they left keys at bank counter. Initial investgtn shows there was an inside job, why teller's didn't press alarm at first when security guard kept under arrest of robberies? They ran away by car...

all staff being sent to Police for statements.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wafanya kazi wa benki za tanzania sio waaminifu jambazi anamjua jina mshika funguo

    ReplyDelete

Top Post Ad