Al-Shabaab Wavamia Basi na Kuua Watu 28, Nairobi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Takriban watu 28 wameuawa na watu wanaodaiwa kuwa wanamgambo wa kundi la Al-Shabaab waliovamia basi la abiria jijini Nairobi, Kenya.

Tukio hilo limetokea alfajiri leo saa 11:30 kwenye eneo la Mandera.

Kamishna Msaidizi wa kaunti ya Mandera East, Elvis Korir alisema taarifa za awali zimedai kuwa wanamgambo hao takriban 100 waliisimamisha basi hiyo na kuamuru watu wote watoke nje.

Anadai kuwa abiria hao waliwekwa kwenye makundi mawili ya Wasomali na wasio wasomali. Alisema kundi la wasio wasomali walimiminiwa risasi.

Abiria 59 walikuwa wamepanda basi hilo.

Chanzo: Daily Nation
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad