AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tukio hilo limetokea alfajiri leo saa 11:30 kwenye eneo la Mandera.
Kamishna Msaidizi wa kaunti ya Mandera East, Elvis Korir alisema taarifa za awali zimedai kuwa wanamgambo hao takriban 100 waliisimamisha basi hiyo na kuamuru watu wote watoke nje.
Anadai kuwa abiria hao waliwekwa kwenye makundi mawili ya Wasomali na wasio wasomali. Alisema kundi la wasio wasomali walimiminiwa risasi.
Abiria 59 walikuwa wamepanda basi hilo.
Chanzo: Daily Nation
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK