Mchepuko wa Zari The Boss Lady (Farouque) Abwaga Manyanga na Kusema Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ninaripoti kutoka Uganda kama ifuatavyo: 

Baada ya Diamond kujisevia Zari kiulaini bila kutumia nguvu boyfriend wa Zari aamua kujiweka kando kwa madai kwamba ni bora awe single kuliko kuwa na Mwanamke asiyejiheshimu. Ameorodhesha tuhuma 5 ikiwemo kupasha kiporo na baba watoto wake, kuwa na mitafaruku ya mara kwa mara kuhusu mali za exhusband Ivan, kukutana na Diamond kwenye Ndege kisha kumalizana kiutu uzima na nyingine 3 Kama alivyoziorodhesha. 


Hata hivyo mchepuko mwingine wa Zari (basketballer LK4 BBA season 7 ambaye alikuwa anachepuka na Zari wakati Zari yuko ndoani) alimlaumu farouque kwa kumuuliza "are you mad"? 


Pamoja na lawama za LK4 bado jamaa anaonekana kuchoshwa na uchepukaji wa bidada kwani genye zake ziko karibu. 


Farouk Sempala is hurting following cozy pics of his ex-lover Zari and Tanzania's Diamond Platnumz that went viral. Diamond Platnumz and Zari at a Beach in Dar. Using his facebook profile, he made this post;

"I would rather remain single than have a beautiful wife that does not respect herself and turns out to justify her wrongs as rights, it's just a waste of time and calories." The post was followed by five other points and one of them was tagged to Zari and Diamond Platnumz - You bump into a singer on a plane and you call that a project!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad