Nani Anafaa Kuchukua Mikoba ya Pinda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa kazi nzuri na uzalendo walio onyesha ndugu Filikunjombe na Zitto ingekuwa busara Filikunjombe apewe mikoba ya Pinda maana najua magamba hawawezi kumpa Zitto

Lakini kwasababu serikali hii wanapeana kimasirahi basi atapewa mzembe mwingine

Naomba pia tutambue juhudi za Kafulila katika ushindi wa leo kwani bila yeye huu uozo ungepita kimya kimya..kwenye kweli uongo hujitenga. Mkono wa Mungu upo juu ya taifa letu,safari Hii Hawa watu waburuzwe mahakamani
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad