Wapitiwa na Usingizi Mpaka Asubuhi Baada ya Kujipa Raha Ndani ya Gari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu wawili Mvulana na msichana Ambao hawakuweza Kutambulika kwa haraka Wamekutwa Asubuhi kweupe wakiwa kwenye usingizi mzito ndani ya Gari lililopaki Pembeni ya Barabara Maeneo ya Sinza wakiwa uchi Sehemu za chini, Kwa haraka haraka inaonyesha watu hawa walikuwa wakifanya mapenzi ndani ya gari na kisha kupitiwa na Usingizi ambao inaonekana umesababishwa na pombe kupita kiasi walizokunywa usiku.
Watu walijazana na kuanza kuchukua picha kupitia madirisha mpaka wawili hao waliposhtuka na kutokomea pasipojulikana..
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad