Van Vicker Ashangazwa na Habari za Yeye Kutoka na Wema Sepetu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ameshangazwa na vyombo vya habari za udaku za hapa Bongo, kwa kile ambacho kimelipotiwa kuhusu yeye na muigizaji Wema Sepetu.

Kwenye blogs na magazeti mbalimbali ya udaku hapa Bongo zilijaa habari za kuwa Wema na Van Vicker mbali kucheza movie kuna mambo mambo walifanya eti kwa sababu tu Wema ameachana na aliekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na hivyo alitaka kumrusha roho, kitu ambacho hakina ukweli wowote.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, Van Vicker aliweka picha hiyo hapo juu na kui-caption

We are in the news in Tanzania...but the headline tho. Lol@wemasepetu

Akionyesha kuchekeshwa na vichwa vya habari zilizoenea hapa bongo kuhusu yeye na Wema.

Sasa sijui kuna watu wamemsomea mastori ya kutoka kwenye lile jumba kongwe la udaku hapa nchini.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad