AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye blogs na magazeti mbalimbali ya udaku hapa Bongo zilijaa habari za kuwa Wema na Van Vicker mbali kucheza movie kuna mambo mambo walifanya eti kwa sababu tu Wema ameachana na aliekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na hivyo alitaka kumrusha roho, kitu ambacho hakina ukweli wowote.
Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, Van Vicker aliweka picha hiyo hapo juu na kui-caption
We are in the news in Tanzania...but the headline tho. Lol@wemasepetu
Akionyesha kuchekeshwa na vichwa vya habari zilizoenea hapa bongo kuhusu yeye na Wema.
Sasa sijui kuna watu wamemsomea mastori ya kutoka kwenye lile jumba kongwe la udaku hapa nchini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK