AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji Wema Sepetu nae haukuwa nyuma kwani jana kupitia mtandaoni alimpongeza mwanadada Jokate kwa hatua aliyofikia na akasema hii ni kama changamoto kwa kila kijana na kumtakia mafanikia zaidi kwa mwaka ujao.Mwishoni akamalizia na kautani kidogo kuwa ataendelea tu kumnunia.....
“Way to go baby girl.... Wat can I say..., Im more dan proud... Let this be a challenge to every youth.... Yes it is possible.... Mi nathubutu kusema Umetisherrr... #Hatari #SayGoodbyeTo2014 .... 2015 is mos def a good year for u.... @jokatem @jokatem @jokatem @jokatem ...
usidhani bado sijakununia.... hii ni post tu ila mnuno unaendelea.... “
Hiki ndicho alichokisema Wema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mnunaji hatangazi utaona kimya tu na domo refuuuu kama chuchunge! Hongereni 'wenza'.........
ReplyDelete