Binti Alazimisha Kufanya Mapenzi na Watoto Wawili, Adaiwa Kuwang'ata Sehemu za Siri , Polisi Wamtia Mbaroni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Na Dustan Shekidele, Morogoro/Ijumaa
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firahuni! Binti aliyefahamika kwa jina moja la Afsa (14), anayesoma darasa la 7, ametiwa nguvuni na jeshi la polisi akidaiwa kuwafanyia ukatili na kuwadhalilisha watoto wawili wa kiume (majina kapuni) wa mama yake mkubwa kwa kuwakang’ata nyeti zao akiwalazimisha kufanya nao mapenzi.



Tukio hilo la kushangaza ambalo lilijaza umati wa watu , lilitokea wiki iliyopita katika mtaa wa Nyerere, Kata ya Mafisa, mkoani hapa.
Kamanda wa OFM, Mkoa wa Morogoro akiwa kazini, alipokea taarifa kutoka kwa wananchi wa mtaa huo wakimuomba afike fasta.
Bila kuchelewa kamanda alitia timu na kukutana na akina mama wawili ambao walishusha ‘vesi’ za tukio hilo:

“Sisi ni wakazi wa mtaa huu wa Nyerere ambao tunaishi na Mama Mese mwenye watoto wawili wa kiume, anaishi pia na mtoto wa mdogo wake (Afsa) aliyempa jukumu la kuwalea wanaye.
“Cha kushangaza Afsa amekuwa akiwafanyia ukaliti wa kutisha watoto hao. Leo amewatoboa macho na njiti ya viberiti kuwapiga mateke na kuwasukumiza ukutani, mbaya zaidi aliwang’ata nyeti zao alipokuwa akiwalazimisha kuduu nao.

“Kama majirani tumemuuliza mama Mese inakuwaje wanaye wanateswa kila siku na yeye hachukui hatua yoyote, akasema hataki kwenda polisi wala kwa mwenyekiti wa mtaa anaogopa mtoto wa mdogo wake atafungwa sasa sisi tumeamua kukuita uje kushudia tukio hili bichi,” walisema kina mama hao walioomba hifadhi ya majina.

Mwanahabari wetu alifika kwenye nyumba hiyo na kumkuta mama Mese akiwa na watoto wake hao wakiwa na makovu mwili mzima, alipoulizwa undani wa tukio hilo na kwa nini hatoi taarifa katika vyombo vya usalama? Alifunguka:
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad